Niwachekeshe kidogo

Nikiona habari kama hizi, nazidi kuona umuhimu wa wale Dada zetu wa Sinza na maeneo mengine. Unalipia huduma, Unapata huduma unaenda kuendelea na shughuli zako. Hakuna kuchezeshana bahati nasibu, maana kugharamia demu huku bado ukimtongoza ni sawa na kucheza Biko tu.
 
Hahaahaha
 
Alafu kesho utakuja na Uzi hapa unatafuta mchumba,wanawake kama nyie ni mikosi tuu,wengi mnaishia kuwa single mama kwaajili ya tabia mbaya za chooni.
 
Alafu kesho utakuja na Uzi hapa unatafuta mchumba,wanawake kama nyie ni mikosi tuu,wengi mnaishia kuwa single mama kwaajili ya tabia mbaya za chooni.
Wachumba wanakuja wenyewe hawatafutwi bana
 
Ok.
 

sijakuelewa bado, ni kwamba hutaki kwenda kijijini au humpendi au unataka akufurahishe tu usahau hayo maswahibu yako? huko juu umesema humpendi then hutaki kwenda sehemu anapokuhitaji unataka ukale bata sehemu nzuri nzuri tu. halafu kama ulikua humtaki,ungeblock mawasiliano naye tangu awali asikusumbue kichwa., sasa akikupeleka huko mombasa sijui wapi huko! akikutongoza utakubali sasa?na utampa papuchi?
 
Nikishakataa mwanzo nimekataa,kiherehere chake tu,labda anipeleke US ntajikazaa[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…