nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 290
- 237
mm ni mwanafunz wa mwaka wa 3 Ifm..nasoma BAC(BACHELOR OF ACCOUNTANCY)
Mkuu IFM kuna kozi inatwa insurance and Risk Management, vipi ina hesabu sana pia vipi soko lake la ajira.
Pia kuna kozi ya Tax management vipi nayo inahesabu ndani yake kiasi mtu arts akashindwa kuisoma..
mkuu tujib bas kuhusu task and insurance
mm ni mwanafunz wa mwaka wa 3 Ifm..nasoma BAC(BACHELOR OF ACCOUNTANCY)
mkuu wa chuo wa kwanza kabisa anaitwa nani??
si kweli acha kutisha watoto,mimi nimesoma pia ifm like 5 yrs ago now!!!!kama unataka kusoma insurance & risk mngnt soma kazi ziko nyingi sana!company kubwa zote kuna dpt za risk management,hata hapa mimi napofanya kazi dpt hiyo ipo,mabank yote yanahizo dpt so chamsingi soma faulu vizuri!!!mengine yatafata!!!!like wise tax management..
We ndo yule CR mkorofi mkorofi wa steam C?
Kwa nini chuo cha IFM hakifanyiwi ukarabati wa majengo na mazingira yake kwa ujumla?Pesa mnazokusanya kama ada mnazitumia kwa mambo gani ya muhimu? kwa nini mnaruhusu wanafunzi wenu kuvaa mavazi kama wanakwenda kwenye madisco? Hivi kuna kitu kinachoitwa maadili katika chuo hicho?.Hivi diploma zinazotolewa hapo baada ya kuhitimu,zinatambulika kimataifa au ni zile za WAHAPAHAPA?
Mbona mademu walio wengi wa ifm ni malaya na wapenda sana hela?au kuna course ya uchunaji na umalaya hapo if..?samahani nauliza kwa nia njema kabisa
siwez kukumbuka najiamini na course nayosoma..kwaza mm ni kiraka naingia sehemu yoyote..iwe insurance .tra kila mahali demand yana wana account ni kubwa uk compare na insurance na social protection...pia sijakudharau kama vp tuma Cv yko kwa vle tumesoma wote account na mm ntakutumia matokeo yangu Ya 1st yia na 2nd yia tuone nan mkalimkuu nimechafukwa poor you hata mimi wakati nasoma hapo watu wa coz zingine nilikua nawaona vilaza kama wewe unavyowaona!!!!!!!unataka kujua cv yangu???ntakupm cv yangu ikupe challenge kidogo....kwa ufupi tu nimesoma adv diploma in accountancy kama unayosoma wewe hapo on top of that nina msc account & finance ........natoa ushauri tu kwa wadogo zangu wasije kufata mkondo niliopita mimi...nakuhakikishia tu na brchl yako utasota sana mtaani kazi za acc siku izi hakuna,hao unao waona vilaza wa chuo utakuja kuona tofauti yao na wewe ukija kazini!!utakuja nikumbuka,matarajio ulionayo mdogo wangu ni makubwa kuliko utakachopata ....
HUWEZI KIMBIA HESABU IFM 1st & 2nd YEAR