Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,309
- 18,517
Unaona umuhimu wowote wa mwanaume kwenye maisha yako ?Nina miaka 32
Ndio, ninaamini kwenye Feminism.
Madam sanga π unanichamba seriousWee ushaanza kulewa ita boda ikupeleke home ukapumzike..!! πΉ
Nimetaka kujua tu. Ni kawaida kwa kila mtu lakini nadhani unapokuwa eg ofisini huwa unachepuka na hujiachii tu. Sasa kuna hili la wawili. Kwa mfano mmelala usiku, unaweza kuachia tu ndani ya shuka?Kutoa hewa chafu sidhani kama ni jambo la kushangaza
Naona sawa tu.
Vp, hali hii inakukera?
Ndio bado kidogo naamka niende job lamoWee ushaanza kulewa ita boda ikupeleke home ukapumzike..!! πΉ
Nilipata saratani ya shingo ya kizazi, kutokana na umaskini na hali ngumu ya nyumbani kwetu sikuwa na uwezo wa kupata mionzi ya kukausha na hali hiyo ilipelekea saratani kula mpaka mji wa mimba nadhani.Why?
Una tatizo la kiafya au shida nini.
Gyna
Kwanza ushuzi wa mpenzi haunukiKutoa hewa chafu sidhani kama ni jambo la kushangaza
Naona sawa tu.
Vp, hali hii inakukera?
pole sana mkuu,Nilipata saratani ya shingo ya kizazi na kupelekea kula mpaka mji wa mimba.
Na katika kuokoa maisha yangu, nilikubali kitolewe.
nina maswali madogo mawili tu kwa sasa kwa faida ya wadau.,Leo Nusratt Mohammed nimepata nafasi kuliko siku zote tangu nimejiunga humu JF (Jamii Africa).
Hivyo basi kutokana na jambo hili natoa nafasi kwa member yeyote aliyepo MMU:-
Kuniuliza Swali,
Kunikosoa kwa lolote,
Kunishauri Chochote,
Kunipongeza kwa lolote.
ILA:
Maswali yasiyo na tija na yasiyo na mrengo wa MMU sitayajibu,
Maswali yatakayodhalilisha jukwaa sitayajibu,
Maswali ya kipumbavu na ya kipuuzi sitayajibu,
Maswali yaliyo nje ya uwezo wangu pia sitayajibu.
Kuna wale walio kwenye ignore list yangu, hao nao sitaweza kujibu maswali yao (wanajijua)
Nipongezeni, nishaurini, nikosoeni ili niweze kujirekebisha maana kuna watu humu wana hasira sana na mimi wakati sijawakosea lolote.
Najua kama nchi tunapitia kipindi kigumu sana nyakati hizi, ila tunaomba tuvumiliane tu wapendwa.
Mimi nawapenda sana wanajukwaa wa JF (JA)
Allah aendelee kutusimamia katika mapambano ya utafutaji wa riziki zetu.
Jioni njema.
View attachment 3315319
Ulidhamiria kusema "l can't conceive" sio!Yes.
But i can't give birth, so sad!
Chawa hauwezi kuwa na swali la kujenga daimanina maswali madogo mawili tu kwa sasa kwa faida ya wadau.,
ni lini hasa ulianza rasmi kuvaa vigodoro, na je una mpango wa kuacha hivi karibuni?π
Sijui uwezo wako kifedha ila kuna njia ya kupata mtoto.Nilipata saratani ya shingo ya kizazi, kutokana na umaskini na hali ngumu ya nyumbani kwetu sikuwa na uwezo wa kupata mionzi ya kukausha na hali hiyo ilipelekea saratani kula mpaka mji wa mimba nadhani.
Na katika mapambano ya kuokoa maisha yangu ikabidi nitolewe kizazi.
Sidhani sababu kuu ilikuwa nini mpaka kupata saratani
Hahaha ππ€£Una miaka mingp? Mbn story zako nyingi ni minyanduo uo?
Una amini kwenye feminism?
Ndio, kwa upande wangu ninaona umuhimu wa mwanaume.Unaona umuhimu wowote wa mwanaume kwenye maisha yako ?
Unaamini ukiwa mama wa nyumbani ndo kuwa mke Bora kwa mumeo ?
Unawaambia nn wadogo zako wanaoamini dating na wababa wametoboa kimaisha ?
Unauachia.Nimetaka kujua tu. Ni kawaida kwa kila mtu lakini nadhani unapokuwa eg ofisini huwa unachepuka na hujiachii tu. Sasa kuna hili la wawili. Kwa mfano mmelala usiku, unaweza kuachia tu ndani ya shuka?
Nitakua nextNchi inapitia mengi acha tu.
Ndio, nimeshawahi kukutana na member mmoja tu.
Ooh mrembo, umenigusa sana, poleNilipata saratani ya shingo ya kizazi na kupelekea kula mpaka mji wa mimba.
Na katika kuokoa maisha yangu, nilikubali kitolewe.
ShalomSabato inakaribia mtumishi