Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,611
Haina shaka lukansola,tutaelimishana.
Poa mkuu, usijali kuhusu uchache wa wachangiaji ni kwa kuwa field yenyewe haina watu wengi.
Haina shaka lukansola,tutaelimishana.
ni kweli hata mimi nime observe hilo.Poa mkuu, usijali kuhusu uchache wa wachangiaji ni kwa kuwa field yenyewe haina watu wengi.
Mkuu hongera kwa Nondoz huko juu,mimi napenda sana VFX Designing ila bado sijafika level nzuri nayotaka. Nina maswali mengi ya kukuuuliza.Katika taaluma ya Film and Video Production, siku hizi wengi wetu tunajua ku-oparate camera, ku-shoot na kufanya editing. Lakini changamoto kubwa ipo katika Motion Graphics and Compositing.
Mkuu hongera kwa Nondoz huko juu,mimi napenda sana VFX Designing ila bado sijafika level nzuri nayotaka. Nina maswali mengi ya kukuuuliza.
Je unaweza ukanipa personal course /internship?
Lukansola
Lukansola, Deejaywilzz katoa pointer tu kuwa pamoja na uzuri wote wa after effect pia involvement ya camera-man lazima izingatiwe la sivyo hiyo application can be rendered useless kwa kuwa input ni mbovu.
Kuhusu suali la pili its obvious kuwa kuna kitu anataka amwambie mjuzi mwenzake ila anataka kujiridhisha kama anaifahamu hiyo application ili kupata mwega mzuri wa majadiliano kati ya wajuzi hawa!
Binafsi nimemwelewa Deejaywilzz nasubiri majibu ya mlengwa nipate faida katika majadiliano usitegemee straight forward Q&A kama mahakamani!
nawakaribisha......
Mimi umenitamanisha kuipata hii application!! Naweza kuipata vipi boss?? Ili niendelee na lectures zako huku nafuatilia kwa vitendo! Natanguliza shukrani nyingi kwako
Mimi umenitamanisha kuipata hii application!! Naweza kuipata vipi boss?? Ili niendelee na lectures zako huku nafuatilia kwa vitendo! Natanguliza shukrani nyingi kwako.
upo sahihi sana kaka,ila mambo ya camera operator au director ku visualize ideas kama zilivyo andikwa ndani ya script na kuziunda katika hali halisi ya kifilamu,hufanyika zaidi kwa zile big budget project.
kwa hizi low budget project zetu huku kwetu tz,idea nyingi huja mkiwa location na mda mwingine mnajikuta mnatoka kabisa nje ya script kuanzaia dialogue,actions,costume etc.
mfano kwa kwa low budget project,huwezi kwenda mamlaka ya ndege uwaombe au uwalipe ili wazuie ndege zisiruke kwa saa kadhaa ili wewe u shoot movie yako,lakini kwa apps kama EA unaweza uka shoot ilihali ndege zina ruka na kusababisha kelele na hata kuingilia ktk engle ya shot yako,halafu baadaye ukakaa kwenye comp yako na kufanya "sky replacement''.mwisho wa siku mambo yakaendela.as simple as that.
cheki hapa.
before the sky replacement.
View attachment 226347
after the sky replacement.
View attachment 226348
Kwa kutumia element 3d ambayo ni plugin ktk ae, naeza design model ya kitu chochote nachotaka
Nijuze zaid mkuu
kaka mbona niki download ni instal znagoma mkubwa? kama kuna maelekeza jins ya kuidowload na ku instal sorry ni nielekeze mkubwa
Sawa sawa mkuu nimekupata,
Najua huu uzi hauzungumzii 3d lkn natamani kama ningependa nikuulize kama una ujuzi na 3d design kwa kutumia software yoyote ile km autodesk au maya... Na kama ni mtaalam wa 3d utupe uwanja wa tukuswalike mkuu...