Niulize jinsi ya kutengeneza game

Niulize jinsi ya kutengeneza game

Nahitaji kufahamu nikitaka kujua namna ya kutengeneza games, natakiwa nisome vitu gani / software gani?
 
You can make it with JAVA but the problem is if you cant do proper memory management unaweza kuwa na garbage GB
 
Mzee vipi hilo game la ujiji ushali upload au ilikuwa story?
Maana kwa jinsi ulivyokuwa unasema kutengeneza game kama fifa ni kitu rahisi, nina shauku ya kuona
 
Lengo la Kuanzisha uzi huu ni kupeana experiences Mbalimbali kuhusu Games,karibuni Wakuu!!
 
Best Games za Ps4 2016 kwa mtazamo wangu

1.uncharted
2.Syndicate
3.Call of duty,Black Ops 3
4.Fall out 4
5.The witcher
 
..FiFa 2017 Mmeiona Wakuu,sio Ya Nchi Hii unambiiwa Kali sana
 
Ili uweze kutengenza applications say games za android, unahitaji uwe fit kwenye language gani??
unatakiwa ujuwe c# na jav kwani nirahisi sana bofya hapa ili ujifunze kwanza Program Skill kwani huwezi kutengeneza game au kitu chochote kama huijui program husika
 
unatakiwa ujuwe c# na jav kwani nirahisi sana bofya hapa ili ujifunze kwanza Program Skill kwani huwezi kutengeneza game au kitu chochote kama huijui program husika
C++ ndio nzuri kwa game tena kwenye memory ndo safi kuliko hizo language zingine.
 
Mimi ni Omary, fani yangu ni game development kwa sasa nimesha tenzeneza game nyingi likiwepo ujiji race hivi karibuni nitali upload on playstore. Sasa niulize jinsi ya kutengeneza game.
Umekwisha tengeneza hilo game mkuu
 
Back
Top Bottom