Mkuu taaluma yako ni ipi hasa kwenye haya maswala? Kusomea Unity youtube au?
Kujua Unity sio kujua what really makes up a computer au how software is made, unaweza tumia blueprints tu kutengeneza games, engines zimeficha mambo mengi ya low level.
Kama hujafanya minification source code inapatikana vizuri tu kwa app yoyote ile, hata game ni app pia. Minification ikifanyika source code ile inakuwepo ndio lakini inakua "minified" huwezi ukaisoma ukaielewa, ifikirie kama encryption hivi ambayo ni irrevisible. Ila in the end kila kitu kinageuka kua machine code, wataalamu wa reverse engineering wao wanaangalia assembly code tu kutafuta specific parts ya functions wanazotaka ila sio kurecreate game zima from assembly code, labda kama game lenyewe ni dogo sana.
Kuna dissasembler za unity games, Unity inafanya optimizations kidogo wakati wa ku~compile, so you can retrieve hadi variable names. Nitakushauri kama kitu hukijui usibishe au ufanye kwanza research then ndio uongee sio kusema unataaluma alafu ukaaibika. Kama unafuatilia gaming utakua umeshajua kua kuna games hua zinatengenezewa mods, kama games ni open source then ni easy mods utazikuta kibao, ila hata kama sio open source unadhani watu hua wanategenezaje mods? Wana disassemble the game na kuanza kuongeza their own features then wanarecompile, imefanyika mara nyingi tu.