Niulize chohote kuhusu biashara ya samaki wa mapambo/kufugwa

Niulize chohote kuhusu biashara ya samaki wa mapambo/kufugwa

Kama hizo pump hakuna na umeme hakuna wanaweza kuishi kwa muda gan? Pia hao samaki wana kula vyakula gani?

samaki wanaweza kuish bila pampu kikubwa maji tasichafuke na masalio ya chakula ukiwapa chakula wape kidogo ili wagombanie wasibakize mabaki kwani yakiharibika uchafua maji na hivyohewa kukata kisha pumzi majin kuisha..chakula kipo special na kipo local food kama mkate na ugali
 
Hao samaki wana faida gani zaidi ya mapambo?
unaweza kuuza wakiwa wengi ikawa kama biashsra kwa mfano kama una duka ausaloon wanakuja weng weng
pili wanakula mazalia ya mbuu kama una makaro ya maji yaliojaa maji unayotumia taratibu kwa shughuli mbalimbali
 
Mkuu..je,hawawezi kutumika kama chakula??? I mean (je, wanaliiiwa???)
wanaweza lakin hakuna aliewajaribu kuwala kwasababu zifuatazo
uzuriwao
udogo wao
na ukubwa wa bei yao
mpaka ushibe inabid utumiepesa nying kama wawili wa nch mbilinanusu ni elfu7 utaitaji wangap ili ushibe
 
samaki wa mapambo wanaweza kukuongezea wateja kwenye ofis .mgahawa au duka na kua kivutio cha wateja
 
nice
 

Attachments

  • AddTextToPhoto(3-1-2016-2-56-27).jpg
    AddTextToPhoto(3-1-2016-2-56-27).jpg
    34.1 KB · Views: 66
nicheki instagram samaki wa kufugwa au mapambo nafas tumia alama hii_
 
Samaki bado unao, natafuta guppy albino full red , wanapatikana?????? Upo wapi hapa Dar es salaam
 
Back
Top Bottom