Niulize chochote kuhusu Lushoto

Niulize chochote kuhusu Lushoto

Status
Not open for further replies.

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
11,449
Reaction score
9,739
Karibuni wadau wa Jf uliza ujibiwe kuhusu wilaya ya Lushoto na maeneo yake. Hii ni moja ya wilaya nzuri kabisa ndani ya mkoa wa Tanga. Karibuni...

CC: mshana jr
 
Last edited by a moderator:
kwanini nyie wachawi sana asili yake nini??
 
naona siku hizi topic za "niulize chochote" zemepata umaarufu si haba.haya nasikia mzee mkapa kahamishia makazi kwenye mji huko lushoto,je ni kweli?.
 
Nasikia ukioa Msambaa wa Lushoto ndoa haijunjiki.
hafu ni kweli wanawake wenu wanatahiriwa wakati wa kuzaa mtt wa kwanza ?
 
Mkuu, naitafuta umaarufu wa LUSHOTO kwa minajili zote, tafadhali nijuze kuanzia jina,wenyeji,geographcal,zao,nk... nina shauku kuu !!
 
Wewe kama mwenyeji wa lushoto una machungu gani na wilaya yako haswa suala zima la kuvuna na kukata miti.Zamani lushoto ilikuwa inaaminika sana kwa kuwa na miti mizuri na hali ya hewa nzuri lakini siku hizi ndivyo sivyo.

Mfano; Shelukindo alikata miti na kusafisha eneo la wananchi ili ajenge hekalu lake na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa.
 
Mi sikuulizi kitu kuhusu Lushoto kwani naijua mwanzo mwisho!
 
naona siku hizi topic za "niulize chochote" zemepata umaarufu si haba.haya nasikia mzee mkapa kahamishia makazi kwenye mji huko lushoto,je ni kweli?.

ni kweli Mzee Mkapa amewekeza sana Lushoto na huja kwa mapumziko mara moja moja
 
Mkuu, naitafuta umaarufu wa LUSHOTO kwa minajili zote, tafadhali nijuze kuanzia jina,wenyeji,geographcal,zao,nk... nina shauku kuu !!

Wenyeji wa Wilaya hii ni Wasambaa 'wagosi wa ndima' ni wilaya ambayo ipo katika milima ya usambaa, hali ya hewa ni baridi kipindi kikubwa cha mwaka, na kunalimwa sana mazao mbalimbali kama mahindi, makabichi, matunda aina mbalimbali, viazi nk
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom