Shukrani sana mkuu.Definitely mkuu hapo utakua umevuka stage upo middle kwenye rejareja upo kwenye jumla upo
Ikifikia level hii Pambana Upgrade uende Jumla tu
Ukiazia biashara chini unajifunza mengi so utatumia experience yako kuweza kulikamata soko
Swali zuri Sana
Kwanza kabisa duka lako unatakiwa kuli-manage unatakiwa kuwa na list nzima ya bidhaa unazotaka kuziuza : unaweza kutumia Software kwenye kutunza kumbuka kumbu au Daftar....
Mfano umeingiza mzigo
1 Tomato souce dozen 10
2 Chumvi kubwa dozen 15 ndogo dozen 10
3 Sabuni White wosh dozen 15
4 Big G Gomba dozen 5
5 Pipi kijiti dozen 5
6 Biscuits chocolate dozen 10
7 Biscuits Maziwa dozen 7
8 vibiriti dozen 10
9 Sembe viroba 50
Ukiuza kwa siku unaandika record
Mfano
Tomato dozen 1 au 3
Biscuits chocolate dozen 2 au 4
Chumvi kubwa dozen 3
Vibiriti dozen 2
Sembe viroba 12
Kwahiyo hii itakusaidia kujua kwa siku umeuza bidhaa ngapi na faida kwa siku pia utaijua
Store pia utajua bidhaa fran imebakia ngapi
Ili uweze kujua faida ulipata kwa siku na rahisi mfano Tomato ulinunua dozen elf 11,000 na wewe ukauza dozen moja elf 15,000 ujue faida yako hapo elf 4,000
Mfano biscuits chocolate dozen ulinunua dozen 13000 ukauza elf 16000 ujuee faida yako elf 3,000
Mfano Sembe ulinunua mfuko 15500 na ukauza 17500 ujue faida yako kila mfuko elf 2000 kwa mifuko 12 jumla 2,4000
So kwa mifano hiyo I hope umenielewa mkuu?
Faida yake ni ndogo ila utokaji wa bidhaa haraka ndio itakupa faida nyingi mfano kila kiroba cha sembe kg 25 na ngano kg 25 faida yake ni 1000 kwa kila kimoja na mafuta dumu lita 20 faida yake ni 2000 au hata 1000 pia itategemea vingine venye faida ni vile ambavyo utanunua kwa catoni na wateja wanataka kwa dazeni hapo faida yake inakua kubwa kidogo mfano viberiti ukinunua caton 37500 uutauza 40000 ila ukigawanya kwa dazeni utapata 45000.Projections za faida mkuu zikoje
Kwa mfano mtaji wa milioni 10 na mzunguko wa kutosha unaweza tengeneza faida kiasi gani kwa mwezi?
HongeraKupitia uzi huu nimeanza mdogo mdogo...
View attachment 1807752
Hii app inaitwaje?Ya unaweza kuanza ujuee duka la jumla huwa linagawanyika kwenye makundi wengi Sana kwahiyo inakupa urahisi wakuchagua biashara yako uingie kwenye kundi lipi
Kuna maduka ya jumla ya vinywaji
Kuna maduka ya jumla ya Vyakula
Na kuna mduka ya jumla yakuuza vitu mchanganyko
Mfano Dawa ya meno, Mafuta ya kujipaka,tochi, chumvi, pemepers betri Pedi, kufuli Super Gruue, marapa,biskuti sabuni
Sasa mfano ukiweka sabuni unatakiwa kuwa nazo Aina 4 Hadi 5 kuna wateja watakuja watahitaji Ya Mo kuna wengine watahitaji Bakharesa nk...
Ukija kwenye dawa ya meno unaweka kalibia Aina 3
View attachment 1792595
Tomato ipi ambayo unapata faida 4000? Nachoelewa hii biashara faida kubwa 1000 kwa bidhaaSwali zuri Sana
Kwanza kabisa duka lako unatakiwa kuli-manage unatakiwa kuwa na list nzima ya bidhaa unazotaka kuziuza : unaweza kutumia Software kwenye kutunza kumbuka kumbu au Daftar....
Mfano umeingiza mzigo
1 Tomato souce dozen 10
2 Chumvi kubwa dozen 15 ndogo dozen 10
3 Sabuni White wosh dozen 15
4 Big G Gomba dozen 5
5 Pipi kijiti dozen 5
6 Biscuits chocolate dozen 10
7 Biscuits Maziwa dozen 7
8 vibiriti dozen 10
9 Sembe viroba 50
Ukiuza kwa siku unaandika record
Mfano
Tomato dozen 1 au 3
Biscuits chocolate dozen 2 au 4
Chumvi kubwa dozen 3
Vibiriti dozen 2
Sembe viroba 12
Kwahiyo hii itakusaidia kujua kwa siku umeuza bidhaa ngapi na faida kwa siku pia utaijua
Store pia utajua bidhaa fran imebakia ngapi
Ili uweze kujua faida ulipata kwa siku na rahisi mfano Tomato ulinunua dozen elf 11,000 na wewe ukauza dozen moja elf 15,000 ujue faida yako hapo elf 4,000
Mfano biscuits chocolate dozen ulinunua dozen 13000 ukauza elf 16000 ujuee faida yako elf 3,000
Mfano Sembe ulinunua mfuko 15500 na ukauza 17500 ujue faida yako kila mfuko elf 2000 kwa mifuko 12 jumla 2,4000
So kwa mifano hiyo I hope umenielewa mkuu?
Ukinunua mzigo mkubwa kwa Ajent Bei inakua ndogo faida ya 4,000 ndio kwa tomatoTomato ipi ambayo unapata faida 4000? Nachoelewa hii biashara faida kubwa 1000 kwa bidhaa
Tomato pc moja ni 1500 karibia kila mahali mkuu hiyo 2000 kuna mtu ananunua kweli? Labda uwe kwa washua hukoUkinunua mzigo mkubwa kwa Ajent Bei inakua ndogo faida ya 4,000 ndio kwa tomato
Dozen moja ya tomato duka la rejareja box anapata 2,4000 Pc moja ya tomato elf 2,000
Unafanya kweli hii biashara boss? Maana tomato kubwa red gold ukinunua kwa agent ni 14,000 mpaka 14,500 na kuuza kwa mtu wa rejareja ni 15,000 ambapo yeye anauza 1,500 kwa piece moja ambapo anapata 18,000Ukinunua mzigo mkubwa kwa Ajent Bei inakua ndogo faida ya 4,000 ndio kwa tomato
Dozen moja ya tomato duka la rejareja box anapata 2,4000 Pc moja ya tomato elf 2,000
Bei zinacheza kila brand sasa tomato ya Ivori Ajent anauza dozen elf 11,000Unafanya kweli hii biashara boss? Maana tomato kubwa red gold ukinunua kwa agent ni 14,000 mpaka 14,500 na kuuza kwa mtu wa rejareja ni 15,000 ambapo yeye anauza 1,500 kwa piece moja ambapo anapata 18,000
Hii biashara unafanyia mkoa gani? Maana kwa hapa Dar hakuna tomato inayofua dafu kwa Red Gold na ndio inatumika sehemu nyingi. Na dukani ili ufanye biashara basi lazima uweke bidhaa inayopendwa na watu na siyo unayoipenda weweBei zinacheza kila brand sasa tomato ya Ivori Ajent anauza dozen elf 11,000
Tanga huku Toptang, Ivori ndo zinatumika SanaHii biashara unafanyia mkoa gani? Maana kwa hapa Dar hakuna tomato inayofua dafu kwa Red Gold na ndio inatumika sehemu nyingi. Na dukani ili ufanye biashara basi lazima uweke bidhaa inayopendwa na watu na siyo unayoipenda wewe
Kwa Tanga sawa ila kwa Dar hii biashara ina ushindani mkubwa sana wa bei, inapelekea kupata faida ndogo sana kwa bidhaaTanga