Niulize chochote jinsi ya kuclear mzigo mpakani

Niulize chochote jinsi ya kuclear mzigo mpakani

Bei gani gunia huko zambia

Kwa upande wa Zambia apa nakonde boda bei ya gunia la 100kg ni 80500Tsh ..ambayo ni sawa na 550kwacha …kama utataka ingia Zambia ndani bei zinashuka tena ila lazima utasafirisha mzigo kuleta nakonde
 
Misugusu kuna nini mpaka wapeleke hapo..tarakea vipi na mtukula..mana hizo boda ndio masoko makubwa ya mahindi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Sehemu yoyote unapita mkuu…misugusugu kuna mizigo ipo apa washanunua ko hii niliongelea kwa wenye magari wanaweza pakia mzigo huu
 
Moja ya mambo nayafuatilia kwa karibu ni bei a nafaka. Ukitizama kwa makini zipo fursa nzuri sana hapa hapa nchini ila uelewa na utayari ni muhimu zaidi ya mtaji. Mfano 1. Sumbawanga na Songea bei imepishana kwa 140k @ gunia la ulezi. Mwenye macho haambiwi tazama. (Biashara sio tu Mtaji)
wholesaleprice.png
 
Moja ya mambo nayafuatilia kwa karibu ni bei a nafaka. Ukitizama kwa makini zipo fursa nzuri sana hapa hapa nchini ila uelewa na utayari ni muhimu zaidi ya mtaji. Mfano 1. Sumbawanga na Songea bei imepishana kwa 140k @ gunia la ulezi. Mwenye macho haambiwi tazama. (Biashara sio tu Mtaji)
View attachment 2365374

Samahani mkuu info kama hii inapatikana wapi boss
 
Moja ya mambo nayafuatilia kwa karibu ni bei a nafaka. Ukitizama kwa makini zipo fursa nzuri sana hapa hapa nchini ila uelewa na utayari ni muhimu zaidi ya mtaji. Mfano 1. Sumbawanga na Songea bei imepishana kwa 140k @ gunia la ulezi. Mwenye macho haambiwi tazama. (Biashara sio tu Mtaji)
View attachment 2365374
naomba hii source ya hili jedwali la hizi bei za mazao wapi naweza pata???
 
Nipo tunduma nakonde border yoyote Alie tayari tufanye biashara ya mahindi just pm me...Nina uzoefu wa kutosha,.. biashara ya mahindi never disappoint....Nina tamani kusafirisha mahindi Kenya lakini namna ya kupata wateja wa upande wa kenya ndio changamoto kuu..


Kiuhalisia wakenya wengi hasa wenye asili ya kiarabu wamejaa huku nakonde
 
Nipo tunduma nakonde border yoyote Alie tayari tufanye biashara ya mahindi just pm me...Nina uzoefu wa kutosha,.. biashara ya mahindi never disappoint....Nina tamani kusafirisha mahindi Kenya lakini namna ya kupata wateja wa upande wa kenya ndio changamoto kuu..


Kiuhalisia wakenya wengi hasa wenye asili ya kiarabu wamejaa huku nakonde
Hapo yanatembea kwa bei gani mkuu?
 
Moja ya mambo nayafuatilia kwa karibu ni bei a nafaka. Ukitizama kwa makini zipo fursa nzuri sana hapa hapa nchini ila uelewa na utayari ni muhimu zaidi ya mtaji. Mfano 1. Sumbawanga na Songea bei imepishana kwa 140k @ gunia la ulezi. Mwenye macho haambiwi tazama. (Biashara sio tu Mtaji)
View attachment 2365374
Hizi taarifa umezitoa wap mkuu?
 
Uzi huu ni kwajili ya kusaidiana kufahamu process zote za kutoa na kuingiza mizigo mpakani,kutokana na Kwamba Ndio kazi nayo ifanya hapa boda ya TUNDUMA..moja ya boda kubwa sana TANZANIA …majibu yangu mengi yatakuwa sahihi na yanaweza kukusaidia na kujua wapi pa kuanzia …clearance ni mzigo wowote ule inafanyika
 
Uzi huu ni kwajili ya kusaidiana kufahamu process zote za kutoa na kuingiza mizigo mpakani,kutokana na Kwamba Ndio kazi nayo ifanya hapa boda ya TUNDUMA..moja ya boda kubwa sana TANZANIA …majibu yangu mengi yatakuwa sahihi na yanaweza kukusaidia na kujua wapi pa kuanzia …clearance ni mzigo wowote ule inafanyika
Kwa mfano MTU amenitumia kifurushi kidogo cha bidhaa, let's say KALAMU nazitoaje bandarini?
 
Uzi maalumu kwajili ya kujua jinsi ya kuingiza au kutoa mzigo mpakani,ukizingatia mimi nafanya kazi hiyo boda ya TUNDUMA hapa …majibu yangu yatakua sahihi kwajili ya kukusaidia au kujua wap unaeza kuanzia ..clearance ni mzigo wowote
 
Utaratibu unakuwa vioi unapokuwa umenunua Trector kutoka zambia au msumbiji, ni gharama zipi ambazo zitapaswa kulipia... Maana trector huwa halilipiwi kodi, na process inaweza kuchukuq siku ngapi
 
Back
Top Bottom