Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,855
- 27,024
Ujue mlituma nauli wengi, kachagua mwenye nauli nono ndo kaenda.Yaani mtu unafanya kazi katika mazingira magumu, alafu unamtumia mtu nauli aje, baada ya kutuma tuu hajaja na simu hapokei.
Kwa mara ya kwanza nauli yangu imeliwa nifanyaje?