NITUMIE NAULI NIJE

NITUMIE NAULI NIJE

Yaani mtu unafanya kazi katika mazingira magumu, alafu unamtumia mtu nauli aje, baada ya kutuma tuu hajaja na simu hapokei.
Kwa mara ya kwanza nauli yangu imeliwa nifanyaje?
Hayo matendo yapo nje ya sheria.
Unapowauliza wadau njia ya kufanya, hautapata majibu ya moja kwa moja ya kukusaidia.

Topic hii ulitakiwa utoe tu stori ya tukio namna ulivyotendwa ili liwe fundisho kwa wadau wengine.

Lakini kussema utapata jibu la msaada, hakuna, labda ujiongeze mwenyewe namna ya kufanya ama kulipiza kisasi.
 
Mimi naona bora kuwa tega kuliko kukimbizana nao. Ukijua namna ya kuwatega watakuwa wanatumia nauli zao kukufata wewe.
 
Tunarudisha nauli yako iliyoliwa kwa gharama nafuu haijawahi kutokea!

kwa mara ya kwanza huduma hii inapatikana na kwa bei rafiki

Kwa dar ni sh.30000 tu.
Hii ni gharama kwa wilaya zote za dar iwe mla nauli anatokea kigamboni,kinondoni,ilala au chanika

Kwa mkoani gharama ni sh.150000.

Usiache pesa zako zipotee bure,karibu tukuhudumie kwa uaminifu na kwa haraka zaidi.

Wasiliana nasi sasa hivi na rudisha pesa zako.
 
Yaani mtu unafanya kazi katika mazingira magumu, alafu unamtumia mtu nauli aje, baada ya kutuma tuu hajaja na simu hapokei.
Kwa mara ya kwanza nauli yangu imeliwa nifanyaje?
Jichukulie tu Sheria mkononi kwea mnazi kwa mkono Mmoja
HandSum
 
Mshitaki kwa mama Gwaji
IMG_6697.jpeg
 
Yaani mtu unafanya kazi katika mazingira magumu, alafu unamtumia mtu nauli aje, baada ya kutuma tuu hajaja na simu hapokei.
Kwa mara ya kwanza nauli yangu imeliwa nifanyaje?
Lakini mkuu refer na wewe hapo juu kama umetoka kufanya kazi ktk mazingira magumu obviously hiyo kazi ilikuwa ni ngumu sasa si inabidi ukale vizuri halafu uupumzishe mwili?

Huyo unayemtumia nauli unamtumia aje afanye nini tena?
 
Hayo matendo yapo nje ya sheria.
Unapowauliza wadau njia ya kufanya, hautapata majibu ya moja kwa moja ya kukusaidia.

Topic hii ulitakiwa utoe tu stori ya tukio namna ulivyotendwa ili liwe fundisho kwa wadau wengine.

Lakini kussema utapata jibu la msaada, hakuna, labda ujiongeze mwenyewe namna ya kufanya ama kulipiza kisasi.
Ibara ya 69 ya Sheria ya Ndoa imeweka wazi mkuu,,, lakini Kama aliyemtumia nauli Hana mahusiano nae (uchumba), hio umekula kwake
 
Back
Top Bottom