Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,467
- 41,606
Huyu tayari ameshawehuka, awahi nafasi mirembe paleMtafute Therapist kabla hujawehuka mazima.
Tukakukosa jf.
Huyu tayari ameshawehuka, awahi nafasi mirembe paleMtafute Therapist kabla hujawehuka mazima.
Tukakukosa jf.
Kuhusu matako ya mamakoWe kiazi, unajadili mada gani??
Huyu tayari ameshawehuka, awahi nafasi mirembe pale
Pole.Hahahaha Mimi ni asilia sio nyie mliletwa mfukoni
Mlikuja na kimbunga sasa kimeondoka
Tutawanyoosha Safar hii
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Utanyooka tuu Mataga weweHuyu tayari ameshawehuka, awahi nafasi mirembe pale
Jamani sasa mmeanzisha battle kwenye uzi wangu😂😂Mkuu nasema utanyooka Safar hii
Najua ulikua chawa aka parasite
Sasa Host wenu ameondoka
Hakika mtanyooka kama rula
Take my words
Najua nachokisema
Muda ni mwalimu mzur
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jamaa amekurupukia wapi sijui.Jamani sasa mmeanzisha battle kwenye uzi wangu
Wakati huu tena unaenda kuwa disappointed....
😂🤣😂Jamaa amekurupukia wapi sijui.
Oy unamaanisha nini?Utanyooka tuu Mataga wewe
Mama ameshika usukani
Mmezoea kupiga dili Sasa mtakula mavi yenu
Nliwaambia muache hiyo tabia ya wizi hamkusikia
Pambaneni na hali zenu mataga nyie
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Naomba namba yke nimtoe mapepo,mimi ni mtumishiMwezi mmoja uliopita nliachwa na ex wangu for none reson but wiki iliopita nliamua kumtafuta shost yake kupitia simu ili kumuuliza kisa na mkasa mpaka mimi kuachwa na rafiki yake akasema ajui chochote nkamwambia poa.
Ila baada ya pale yule binti amekuwa akiendelea kunitafuta ila kila napomuuliza kuhusu rafiki yake kwanza anasema urafiki wao auna muda mrefu pili yule rafiki yake ambae ni ex wangu kitabia wapo tofauti sana yule muda mwingi anachat yani simu inamuweka bize mno hata muda wa kupika hana halafu anaruka ruka yani kifupi ajatulia na mwisho ananiambia niachane nae dunia itakuja kumfunza.
Nashangaa kanizoea sana sometime nampotezea ila yeye ananitafuta tunachat sana na kuongea kwa muda mwingi hasa usiku kuanzia saa nne mpaka 6 au 7.
Sasa sijaelewa lengo hasa la huyu binti ni nini na kama kanielewa je nitumie mbinu gani kumuweka kwenye laini fasta maana mi nakuwa najistukia kumtongoza coz alikuwa shemeji yangu tena kwa marafiki zake wawili ukiachana na huyu ex wangu pia kuna rafiki yake mwingine nliwahi kumuacha kutokana na tabia zake kutokuwa nzuri.
By the way poleni kwa msiba endeleeni kuchukua tahadhali dhidi ya Corona.
Wonders shall never cease in this world kifo kimesepa na akili ya mtu......😂😂😂😂😂😂Jamaa amekurupukia wapi sijui.
Unaishi Dar?Mwezi mmoja uliopita nliachwa na ex wangu for none reson but wiki iliopita nliamua kumtafuta shost yake kupitia simu ili kumuuliza kisa na mkasa mpaka mimi kuachwa na rafiki yake akasema ajui chochote nkamwambia poa.
Ila baada ya pale yule binti amekuwa akiendelea kunitafuta ila kila napomuuliza kuhusu rafiki yake kwanza anasema urafiki wao auna muda mrefu pili yule rafiki yake ambae ni ex wangu kitabia wapo tofauti sana yule muda mwingi anachat yani simu inamuweka bize mno hata muda wa kupika hana halafu anaruka ruka yani kifupi ajatulia na mwisho ananiambia niachane nae dunia itakuja kumfunza.
Nashangaa kanizoea sana sometime nampotezea ila yeye ananitafuta tunachat sana na kuongea kwa muda mwingi hasa usiku kuanzia saa nne mpaka 6 au 7.
Sasa sijaelewa lengo hasa la huyu binti ni nini na kama kanielewa je nitumie mbinu gani kumuweka kwenye laini fasta maana mi nakuwa najistukia kumtongoza coz alikuwa shemeji yangu tena kwa marafiki zake wawili ukiachana na huyu ex wangu pia kuna rafiki yake mwingine nliwahi kumuacha kutokana na tabia zake kutokuwa nzuri.
By the way poleni kwa msiba endeleeni kuchukua tahadhali dhidi ya Corona.
Au labda alikuwa anachangia mada tofauti na hiiWonders shall never cease in this world kifo kimesepa na akili ya mtu......
Kasome uzi wa kila kimasihara utafanikiwaMwezi mmoja uliopita nliachwa na ex wangu for none reson but wiki iliopita nliamua kumtafuta shost yake kupitia simu ili kumuuliza kisa na mkasa mpaka mimi kuachwa na rafiki yake akasema ajui chochote nkamwambia poa.
Ila baada ya pale yule binti amekuwa akiendelea kunitafuta ila kila napomuuliza kuhusu rafiki yake kwanza anasema urafiki wao auna muda mrefu pili yule rafiki yake ambae ni ex wangu kitabia wapo tofauti sana yule muda mwingi anachat yani simu inamuweka bize mno hata muda wa kupika hana halafu anaruka ruka yani kifupi ajatulia na mwisho ananiambia niachane nae dunia itakuja kumfunza.
Nashangaa kanizoea sana sometime nampotezea ila yeye ananitafuta tunachat sana na kuongea kwa muda mwingi hasa usiku kuanzia saa nne mpaka 6 au 7.
Sasa sijaelewa lengo hasa la huyu binti ni nini na kama kanielewa je nitumie mbinu gani kumuweka kwenye laini fasta maana mi nakuwa najistukia kumtongoza coz alikuwa shemeji yangu tena kwa marafiki zake wawili ukiachana na huyu ex wangu pia kuna rafiki yake mwingine nliwahi kumuacha kutokana na tabia zake kutokuwa nzuri.
By the way poleni kwa msiba endeleeni kuchukua tahadhali dhidi ya Corona.