brytr Nichol
Member
- Nov 10, 2019
- 80
- 74
Samahani kwa kuwachosha wanajamvi, naomba ushauri wa mawazo ambao unaweza kunisaidia mimi na mwenza wangu.
Nilikutana na binti ambaye bado ni bikira na nimefanya maamuzi awe wangu wa maisha. Shida iliyopo ni muoga sana kutolewa ile kitu kwa muda wa miezi mitano sasa nimekuwa nikipress juu juu, yaani nikigusa kidogo tu anapiga kelele hizo na kuruka sana.
Hii Hali imekuwa ikinitesa kwani sioni faida tena ya kuwa na mwenza, ni kama nina rafiki tu.
Naomba njia sahihi kwa anayeweza kuifahamu ambayo naweza nikaitumia kufanikisha kuivunja hii kitu maana inanitesa sana akili. Haijalishi ataumia au hatoumia naomba njia tu ya kufanikisha hili maana nimemuonea huruma sana ila sasa ni kama nataka kuchoka japo namuhitaji.
Nilikutana na binti ambaye bado ni bikira na nimefanya maamuzi awe wangu wa maisha. Shida iliyopo ni muoga sana kutolewa ile kitu kwa muda wa miezi mitano sasa nimekuwa nikipress juu juu, yaani nikigusa kidogo tu anapiga kelele hizo na kuruka sana.
Hii Hali imekuwa ikinitesa kwani sioni faida tena ya kuwa na mwenza, ni kama nina rafiki tu.
Naomba njia sahihi kwa anayeweza kuifahamu ambayo naweza nikaitumia kufanikisha kuivunja hii kitu maana inanitesa sana akili. Haijalishi ataumia au hatoumia naomba njia tu ya kufanikisha hili maana nimemuonea huruma sana ila sasa ni kama nataka kuchoka japo namuhitaji.