Nitumie dawa gani?

Nitumie dawa gani?

bhakamu

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2016
Posts
840
Reaction score
818
Msaada jamani miparachichi yangu inashambuliwa sana nitumie dawa gani kuitibu maana majani yana jikunja na kukakamaaaa
ea33e4ff4056f4c1da863fe74445842f.jpg
 
Tafuta dawa ya kutu fungicides upige. Alafu baadae upige busta
 
Back
Top Bottom