Nitumie dawa gani

zayat

JF-Expert Member
Dec 29, 2010
337
42
DOKTA;-Unaumwa nini shida yako?
MGONJWA;-Nikikosa Pombe na fegi sigara silali nitumie dawa gani
DOKTA:-Nakuandikia dawa nenda Bar ilio karibu na nyumbani kwako utanunua hizo dawa :puke:
 
Back
Top Bottom