Kuna mtu kaniletea ipad ya apple ambayo haina access ya kuinsert sim so najiuliza ninawezaje kutumia Internet ikiwa nipo huku kwenye maeneo ambayo sina access ya wireless internet.
So naomba msaada wa kuelekezwa ni namna gani ninaweza nikaenjoy internet using this device.
So naomba msaada wa kuelekezwa ni namna gani ninaweza nikaenjoy internet using this device.