Chinga boy
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 412
- 101
Hbr za mapumziko wadau.Mm ni mwajiriwa nikifanya kazi ktk field za mawasiliano i.e telecom and non telecom(power) fani yangu halisi electrica5 techn.nilipata training za transmission na kuweza kufanywa cheap labour kwa kufanya kazi zote kwa pamoja.Sasa ni mda mrefu niko mbali na familia yangu ambayo iko Da.Sasa natafuta njia ya kujiajiri,nimepanga kwanza nifungue w/shop ya aluminium na metal fabrication ambayo atakuwepo ndugu yangu mwenye hizo fani then niangalie maendeleo kama mazuri niache kazi na kuöngeza electrical work labda nitatoka kimaisha.USHAURI WENU WADAU