Nitawezaje kutumia hii simu hapa bongo?

Nitawezaje kutumia hii simu hapa bongo?

Wakubwa Nina simu mpya inaitwa oppo kutoka china INA 4g,3g lakini hazisapoti kila laini inasoma EDGE naitaji msaada wadau kwa hili
Yawezekana pia eneo ulipo halina hizo hudama kwa hiyo mitandao unayotumia. Inaweza ikawa na 3G Au 4G ukawa eneo ambalo hakuna hizo huduma hapo lazima isome EDGE tu.
 
Back
Top Bottom