apprentice1997
Senior Member
- Jun 8, 2016
- 107
- 99
Habarini wanajukwaa, Nina simu. aina ya saSamsung galaxy core prime g360p, hii simu ina support network za LTE na CDMA tu na sidhani kama ina GSM, je nitawezaje kuitumia hii simu kwa mitandao yetu ya hapa bongo maana hiki kimeo nilichonacho sasa kinanisumbua. Naomba kujuzwa kama kuna trick yoyote ya kuactivate gsm network kwenye hii simu. Asante