Nitawezaje kupata namba zote za simu

Nitawezaje kupata namba zote za simu

AziGogolato

Member
Joined
Jul 27, 2013
Posts
8
Reaction score
0
Habari JF.

Samahani nauliza nawezaje kupata database yenye namba zote za simu za mkononi za waTanzania wote?. Nahitaji hizi namba kwa ajili ya mobile marketing tu na si vinginevyo.

Nawasilisha.
 
Mh... sidhan Kama Mtu mwingine Tofaut Na carries [service Providers] Wanaruhusiwa Kua Na Access Na Hio Kitu... maana Ni Suala La Privacy So huwez Kufanya Advertising Kwenye Simu Ya Mtu Kama Yy hajapenda... unless Ww Uweke Njia Ambayo Mtu Anaweza Ku subscribe Kama Anakua Ameridhia kwa Hiyari yake
 
Anza kuorodhesha tuu hivi 0712123456 0752123456 0765123456 nk....... afu wapigie ujue kabisa ni binadamu au freemason????
 
Nimekupata vizuri, yaani hakuna namna nyingine? hakuna directory somewhere hivi?

Mh... sidhan Kama Mtu mwingine Tofaut Na carries [service Providers] Wanaruhusiwa Kua Na Access Na Hio Kitu... maana Ni Suala La Privacy So huwez Kufanya Advertising Kwenye Simu Ya Mtu Kama Yy hajapenda... unless Ww Uweke Njia Ambayo Mtu Anaweza Ku subscribe Kama Anakua Ameridhia kwa Hiyari yake
 
Duh! Hiyo unaweza kwa njia ya ufisadi tu. Labda ujaribu kumtafuta shushushu Edward Snowden, atakusaidia namna.
 
Nimekupata vizuri, yaani hakuna namna nyingine? hakuna directory somewhere hivi?

Hapo Cjajua Mayb Tusubir wakuu Watuelekeze vzuri :.. ila Kama Inashndikana unaeza kuanza kwa Kujitangaza Fb Na Social Network Nyngne Ili Watu wa Subscribe... Or Uka Bribe Watu wanaofanyia Headquaters wakupe accsess na hio kituuuu... ila Hii Ni Against the Law... lakin S Unajua Mjini Hapaa
 
Kuna database ya do not call wape kidogo dogo wakupatie hiyo list.
 
Habari JF.

Samahani nauliza nawezaje kupata database yenye namba zote za simu za mkononi za waTanzania wote?. Nahitaji hizi namba kwa ajili ya mobile marketing tu na si vinginevyo.

Nawasilisha.

nenda TCRA









"Katiba ijayo lazima sasa iondoe kinga kwa marais ili mtu yeyote aweze kumshtaki Rais na hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa," Mateo Qaresi (July 2013).
 
Hakuna urasimu pale? Na huyo Mateo Qaresi anahusika na nini?

nenda TCRA









"Katiba ijayo lazima sasa iondoe kinga kwa marais ili mtu yeyote aweze kumshtaki Rais na hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa," Mateo Qaresi (July 2013).
 
Back
Top Bottom