Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 140
Labda cha TTCL ile hardcopy
Habari JF.
Samahani nauliza nawezaje kupata database yenye namba zote za simu za mkononi za waTanzania wote?. Nahitaji hizi namba kwa ajili ya mobile marketing tu na si vinginevyo.
Nawasilisha.
Ni mwanachama wa jf huyo jamaa?
Labda cha TTCL ile hardcopy
Ni mwanachama wa jf huyo jamaa?
Habari JF.
Samahani nauliza nawezaje kupata database yenye namba zote za simu za mkononi za waTanzania wote?. Nahitaji hizi namba kwa ajili ya mobile marketing tu na si vinginevyo.
Nawasilisha.
Nitajitahidi. Una ratiba za mikutano yao?
Kupata humu ni ngumu ila nina amini ukiwasiliana na makampuni ya simu nadhani kuna utaratibu wanaweza kukupa maana ni mara kibao kwenye simu ya mkononi huwa kuna matangazo ya biashara sijui ya hotel inatajwa jina huwa yanaingia hivyo hata wewe through the same arrangement nadhani unaweza saidiwa
Nimekupata vizuri, yaani hakuna namna nyingine? hakuna directory somewhere hivi?
kaka nitafute kwa email: kmwakia@gmail.com tufanye biashara kama bado hujapata
Habari JF.
Samahani nauliza nawezaje kupata database yenye namba zote za simu za mkononi za waTanzania wote?. Nahitaji hizi namba kwa ajili ya mobile marketing tu na si vinginevyo.
Nawasilisha.
Hapo Cjajua Mayb Tusubir wakuu Watuelekeze vzuri :.. ila Kama Inashndikana unaeza kuanza kwa Kujitangaza Fb Na Social Network Nyngne Ili Watu wa Subscribe... Or Uka Bribe Watu wanaofanyia Headquaters wakupe accsess na hio kituuuu... ila Hii Ni Against the Law... lakin S Unajua Mjini Hapaa
Habari JF.
Samahani nauliza nawezaje kupata database yenye namba zote za simu za mkononi za waTanzania wote?. Nahitaji hizi namba kwa ajili ya mobile marketing tu na si vinginevyo.
Nawasilisha.
zingine hizi 112 ,111 ,113 ,999 , 100,102. zote za wanawake ila hii 0755555555 ya mkuu wa kaya hapokeagi lakini ila mtumie mesejiKwan freemasons sio binadam??
Habari JF.
Samahani nauliza nawezaje kupata database yenye namba zote za simu za mkononi za waTanzania wote?. Nahitaji hizi namba kwa ajili ya mobile marketing tu na si vinginevyo.
Nawasilisha.