Habari JF.
Samahani nauliza nawezaje kupata database yenye namba zote za simu za mkononi za waTanzania wote?. Nahitaji hizi namba kwa ajili ya mobile marketing tu na si vinginevyo.
Nawasilisha.
database ya namba zote za simu...?!.unataka kufanya cyber attack kwa watz.TISS huyu mtu jaribuni kwenda nae sambamba.mmh!
Jaman kuna watuwana masihala humu ndani,duuh
Anza kuorodhesha tuu hivi 0712123456 0752123456 0765123456 nk....... afu wapigie ujue kabisa ni binadamu au freemason????
Mbona mnakuwa negative katika fikra za maendeleo. ?