Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,620
- 5,250
:Hatari:
Mkuu cha msingi nenda
www.imei info.com
Halafu chukua imei ya simu kwa kuminya
*#06# halafu ukiingiza kwenye huo mtandao
itakuletea ni aina gani ya simu km ni
Nokia ya tochi lkn original
Habari zenu wana JF, naomba mnijuze jinsi ninavyoweza tambua hizi Iphone ambazo ni original kwani nimekuwa nakutana nazo watu wanaziuza mikononi kwa bei ambayo haifanani na thamani ya simu hiyo ninavyoifahamu.
kwa nn sasa?
Hao imei info data za genuine imei wanaletewa na makampuni ya cm na ku feed kwenye database yao? Usikute hata wanaotengeneza clone simu zote wanacheza na hizo imei.
Apple wenyewe America hawauzi kwa bei hiyo ingawa ma millions ya iphone yapo sokoni, hizo za KE lazima ni hizo hizo za China!! Unless ungenambia ni za wizi.KE gadgets kama simu especially, bei zake ziko chini kwa sababu wanaingiza hizo products kwa wingi sana.
Wamerahisisha biashara kwa kiasi kikubwa
kwa samsang *#0000#