Nitarudisha kadi ya CHADEMA haraka sana...

Nitarudisha kadi ya CHADEMA haraka sana...

Kwenye list ya wanachama wa chadema wewe haupo, hata kwenye list ya wale wanaoiunga chadema wewe haupo, kama ni kurudisha kadi rudisha ile kadi ya chadema uliyopewa na ccm.

Kama kweli wewe mwanachadema unatakiwa ufukuzwe hata kabla ya kuirudisha hiyo kadi ya chadema uliyopewa na Nape

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
CCM inahangaika jamani...yaani acha tu! Kulala Chadema, kuamka Chadema na bado! Mbona hizi rasharasha tu, tufani yenyewe bado. Eti Mara oh, nimeijenga Chadema. Umeijenga Chadema? Wewe nani; hebu jitokeze watu wakufahamu. Mawazo yako yote na matendo yanakuumbua kwani yamekaa kimagambamagamba. Pole sana BABAAKUBWA, you are barking up the wrong tree!
 
mnafiki ni mm au wewe na akina mbowe wako? Kama analipwa mshahara na chama (uwenyekt wa) ,selikali (ubunge), na bado anapokea pesa za akina rostam, mkono, lowasa, n.k. Kukihujumu chama, uzalendo wake uko wapi? Kiongozi gani ananyamazia matatizo ya wananchi kama vile kupanda kwa bei za usafiri, umeme, n.k? Kiongozi gani wa chama kinachotaka ridhaa ya wananchi kuingia ikulu huku akikaa kimya kuhusu wabunge kujilipa kinyemela 16o milion?
Mtaji wake ni upi kama anapuuza haya? Aibu yenu wahafidhina> hasara yenu kisiasa.
Unataka Mbowe akutetee kwenye mafao yawabunge wakati chama chako ndiyo kimebuni kwa maksudi?Mbona humwambii Mwigulu au Kikwete wenu.Mbowe kazi yake ni kuwatoa magamba Ikulu basi!
 
toka nizaliwe sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa tofauti na cdm.

Nilijiunga chadema mwaka 2000 na nimefanya makubwa ktk chama kwenye eneo langu: Kwa mchango wangu na wengine, cdm imekuwa ikishinda toka ngazi ya kitongoji hadi rais: Tulinyakua vitongoji vitatu kati ya vinne, m/kiti wa serikali ya kijiji,diwani na mbunge.hata mgombea urais wa cdm dr slaa alimshnda kikwete ktk ngazi ya kijiji changu, kata yangu, tarafa na wilaya niliko. Japo mchango huu kwa wahafidhina ni upuzi mtupu!

Ninaipenda chadema kuliko mbowe,slaa,lema, lissu na wengineo kwani mimi katk kazi na mchango wangu kwa cdm sijawahi kulipwa wala kukopeshwa na saccos ya cdm. Ni bure! Ila mbowe, slaa n.k wanalipwa mishahara, wanajilipa posho, wanajikopesha bila riba pesa ya chama, na pia wanachukua hongo kwa mafisadi n.k!!

Siku katiba ikiridhia mgombea binafsi nitarudisha kadi ya cdm. Inauma kuona cdm imesimama kwa jasho la wanyonge, halafu wakubwa wamekigeuza kuwa mradi wao na vimada wao!
Ni hatari sana!
0766353543
lumumba bk7 at work
 
mnafiki ni mm au wewe na akina mbowe wako? Kama analipwa mshahara na chama (uwenyekt wa) ,selikali (ubunge), na bado anapokea pesa za akina rostam, mkono, lowasa, n.k. Kukihujumu chama, uzalendo wake uko wapi? Kiongozi gani ananyamazia matatizo ya wananchi kama vile kupanda kwa bei za usafiri, umeme, n.k? Kiongozi gani wa chama kinachotaka ridhaa ya wananchi kuingia ikulu huku akikaa kimya kuhusu wabunge kujilipa kinyemela 16o milion?
Mtaji wake ni upi kama anapuuza haya? Aibu yenu wahafidhina> hasara yenu kisiasa.

Hivi unajua maana ya uhafidhina au umekariri?je unadhani hoja za ki-bunge unajibu barabarani?sikuja kumbe wewe ni msaliti!
 
Wewe mbumbu zito hawezi kushinda kwenye mitandao wewe unaekosa kazi ndio utashinda kwenye mitandao ndio mana kila post wewe unachangia mara 3hadi10huko inaonesha huna kazi mjini angalia utaliwa tigo tafuta kazi sisi tunasubiri filimbi ipigwe halafu utaipata nyambafu
 
zito mwenyewe sasa anasema ningelijua iweje we malayer. Kwenda zako hata usitubabaishe. Kijiji,tarafa,sijui wilaya kote huko wewe ndo ulisababisha ushindi?? Majitu mengine hayana hata simile. Unaleta thread ya kijinga kijinga unazani tuna akili ya kimavie ka yako?? Shenzytype
 
Rudisha. Hujaombwa kuchukua

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Ondoka hataka. Tena umeshachelewa. Ukitakiwa uondoke longtime ago. Chama hakijengwi na walalamishi bali wachapakazi wasiosubiri ujira. Mbowe na Slaa ni viongozi na ni lazima watumie hela. Mboba sisi wengine hatulalamiki. Tuna mapenzi. Get out immediately.
 
Babaakubwa kwa comments hizi basi bora ukae kimya.
 
Toka nizaliwe sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa tofauti na cdm.

Nilijiunga chadema mwaka 2000 na nimefanya makubwa ktk chama kwenye eneo langu: Kwa mchango wangu na wengine, cdm imekuwa ikishinda toka ngazi ya kitongoji hadi rais: Tulinyakua vitongoji vitatu kati ya vinne, m/kiti wa serikali ya kijiji,diwani na mbunge.hata mgombea urais wa cdm dr slaa alimshnda kikwete ktk ngazi ya kijiji changu, kata yangu, tarafa na wilaya niliko. Japo mchango huu kwa wahafidhina ni upuzi mtupu!

Ninaipenda chadema kuliko mbowe,slaa,lema, lissu na wengineo kwani mimi katk kazi na mchango wangu kwa cdm sijawahi kulipwa wala kukopeshwa na saccos ya cdm. Ni bure! Ila mbowe, slaa n.k wanalipwa mishahara, wanajilipa posho, wanajikopesha bila riba pesa ya chama, na pia wanachukua hongo kwa mafisadi n.k!!

Siku katiba ikiridhia mgombea binafsi nitarudisha kadi ya cdm. Inauma kuona cdm imesimama kwa jasho la wanyonge, halafu wakubwa wamekigeuza kuwa mradi wao na vimada wao!
Ni hatari sana!
0766353543

Kaungane na akina shonza na Mtela, kule utalipwa daily, kwa mfano kwa post kama hii ungekuwa tayari una 7000 yako kiulaiini..!
 
Kwahiyo unaweka hapa malalamiko yako ili upate wafuasi wa kuondoka nao,,,si usepe kimyakimya,,kwani ulipojiunga ulitushirikisha!!
 
babaakubwa kwa comments hizi basi bora ukae kimya.

wangwe hakukaa kimya mpaka anauawa, zitto hakukaa kimya mpaka anapokonywa cheo, nami sitakaa kimya wala kilio hiki hakitakoma mpaka haki na usawa viwepo ndani ya cdm!
 
kwahiyo unaweka hapa malalamiko yako ili upate wafuasi wa kuondoka nao,,,si usepe kimyakimya,,kwani ulipojiunga ulitushirikisha!!

nawapeni pole. Kwa kuwa nyie ni misukule ya mbowe... Poleni!
 
Back
Top Bottom