Boveta
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,258
- 3,931
Sio alovera hiyo?Ayayayaaaa wanazikula wataalamu, na sjawai kujua kama ni dawa najua ni chakula ya sungura.....inatumikaje na inatibu nini
Sio alovera hiyo?Ayayayaaaa wanazikula wataalamu, na sjawai kujua kama ni dawa najua ni chakula ya sungura.....inatumikaje na inatibu nini
anhaa, sawaukija hapa Mandawa (kijiji cha nne baada ya Nangurukuru) nicheki mkuu
Dah yaan apo ndo nachoka yale makitu ukiyashika usiponawa vizuri afu uguse mdomoni!Mchunga ni mboga safi sana, ila ipate mpishi mwenye mkono mzuri akipika mwingine hutatamani kuila.
Machungu sana ila ni mboga swafiDah yaan apo ndo nachoka yale makitu ukiyashika usiponawa vizuri afu uguse mdomoni!
Niwekeee soon naenda kilwa masokoUsisite pia kusimama hapa singino njia panda ya kwenda kivinje iwe unatokea masoko au nangurukuru ule madafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yale yanachemshwa, unamwaga Maji, unaweka tena jikoni kisha unamwaga Maji mpaka uchungu unaishaDah yaan apo ndo nachoka yale makitu ukiyashika usiponawa vizuri afu uguse mdomoni!
Ndio mchunga? kama ni huo nishakula ila zamani sana.
Ndio mchunga? kama ni huo nishakula ila zamani sana.
Ndio ile ina kama maziwamaziwa hivi?
Okay mkuu.
siyo mrongi ni mlonge...pambafkitakachonirudisha ni ile ladha ya mboga ya mrongi niliyokula pale kwa dada mmoja mama ntilie karibu na guest niliyofikia ya Upendo. kabla nilikuwa sijawahi kula na hata sikufikiria kuwa ni mboga......nilivyouliza na kujibiwa kuwa kuna mboga ya mrongi, nikaona ngoja nijaribu. yaliyonikuta ndo hayo, lazima nirudi tena kule, wallah!!!!
nyongeza:
jirani na Upendo guest house nilipofikia, kuna gues moja ndogo hv.....kuna kina dada hapo muda wote wanapiga story, nilipomhoji mhudumu, ambaye pia ni wa kike, alijibu kuwa hao ni wanunuzi tu wa samaki kutoka kusini na wanapenda kufikia pale sababu ni rahisi sana hivyo wanaweza kukaa siku nyingi wanazohitaji kwa ajili ya kufuatilia na kusubiria mzigo! sijui amenidanganya yule?!!!!!
ndo hivyo jamani......nimetokea kukupenda kilwa kivinje!
inshaAllahsiyo mrongi ni mlonge...pambaf
Wasalimie hapo mpunyule sekondari hasa MWL ayoub mkuuukija hapa Mandawa (kijiji cha nne baada ya Nangurukuru) nicheki mkuu
Ndo kwetu hukokitakachonirudisha ni ile ladha ya mboga ya mrongi niliyokula pale kwa dada mmoja mama ntilie karibu na guest niliyofikia ya Upendo. kabla nilikuwa sijawahi kula na hata sikufikiria kuwa ni mboga......nilivyouliza na kujibiwa kuwa kuna mboga ya mrongi, nikaona ngoja nijaribu. yaliyonikuta ndo hayo, lazima nirudi tena kule, wallah!!!!
nyongeza:
jirani na Upendo guest house nilipofikia, kuna gues moja ndogo hv.....kuna kina dada hapo muda wote wanapiga story, nilipomhoji mhudumu, ambaye pia ni wa kike, alijibu kuwa hao ni wanunuzi tu wa samaki kutoka kusini na wanapenda kufikia pale sababu ni rahisi sana hivyo wanaweza kukaa siku nyingi wanazohitaji kwa ajili ya kufuatilia na kusubiria mzigo! sijui amenidanganya yule?!!!!!
ndo hivyo jamani......nimetokea kukupenda kilwa kivinje!
kwema sana kuleNdo kwetu huko