Nitarudi tena kilwa Kivinje

Nitarudi tena kilwa Kivinje

ni mboga inayotoka ktk miti flani hivi ambayo maeneo mengi tunaitumia kama mapambo (maua) tu. zaidi zinasikika mbegu zake tu kuwa ni dawa.....malaria n.k. majani yake kumbe kule kilwa ni mboga.....kiukweli, kwangu mimi, inanukia vzr na ina ladha maridhawa kabisa. ilitiwa nazi!
Sisi uku mronge kuanzi majana, mbegu, mzizi ni dawa
 
ni kweli
Sisi uku mronge kuanzi majana, mbegu, mzizi ni dawa
ni kweli, ni dawa maarufu tu na ya uhakika maeneo mengi, lakini maeneo mengine kma huko kilwa ni mboga pia. iko poa sana!
 
ni kweli

ni kweli, ni dawa maarufu tu na ya uhakika maeneo mengi, lakini maeneo mengine kma huko kilwa ni mboga pia. iko poa sana!
Dah ni kama yale yanaitwa mchunga sjui tanga wanazielewa zaidi, kwetu ni makitu flani machunguuuu yantumika km chakula cha sungura ila kwa wenzetu ni mboga
 
Dah ni kama yale yanaitwa mchunga sjui tanga wanazielewa zaidi, kwetu ni makitu flani machunguuuu yantumika km chakula cha sungura ila kwa wenzetu ni mboga
Wachagga huita mnafu majani ya sungura.
 
Ipi hiyo tena?
IMG_20191218_122413_545.jpg
iko ivi
 
Back
Top Bottom