Kichaa mmoja maarufu maeneo ya Kakola ametoa ya mwaka baada ya kumfuata kada wa CCM na kutoa shinikizo na hapa namnukuu; CCM naipenda sana lakini kwa sasa nimeiacha na tarundi chamani endapo wahusika wa ESCROW watakamatwa na kufungwa. Hizi hapa nibaadhi ya picha alipokuwa akitiririka.
Waanze na mwenyekiti wao ambaye kumbe ndiye kamanda mkuu na mlinzi wa majambazi menziye. Amekaa akichekacheka kama ngenyela kuwahadaa watanzania kumbe ana mission yake ya siri. Divine justice shall always prevail no matter how long it takes!.