Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,126
- 8,625
Kichaa mmoja maarufu maeneo ya Kakola ametoa ya mwaka baada ya kumfuata kada wa CCM na kutoa shinikizo na hapa namnukuu; CCM naipenda sana lakini kwa sasa nimeiacha na tarundi chamani endapo wahusika wa ESCROW watakamatwa na kufungwa. Hizi hapa nibaadhi ya picha alipokuwa akitiririka.