mwibi
Senior Member
- Jul 28, 2016
- 131
- 79
Naomba mnipe mawazo na msaada namna ya kupata simu yangu iliyopotea.
Simu imeibiwa ndani ya week moja iliyopita na laini zangu hazikuwa hewan lakini toka majuzi kila nikipiga kwenye lain zangu zinapatikana lakini hazipokelewi.
Je, hakuna namna yeyote ya kuweza kujua zilipo au zinapotumika?
Simu imeibiwa ndani ya week moja iliyopita na laini zangu hazikuwa hewan lakini toka majuzi kila nikipiga kwenye lain zangu zinapatikana lakini hazipokelewi.
Je, hakuna namna yeyote ya kuweza kujua zilipo au zinapotumika?