by default
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 839
- 215
Naombeni msaada mabati orginal ya ALAF mgongo mpana yanauzwa shiling ngapi kwa mita.
Pia jaribu kwenda MM Steel Mills jirani na ITV nao wana mabati mapana, Sh 11,780 kwa mita
Hii ya MM STEEL MILLS feki haifai ndugu ALAF ndo mpango mzima.Pia jaribu kwenda MM Steel Mills jirani na ITV nao wana mabati mapana, Sh 11,780 kwa mita
haha unanikumbusha jamaa yangu mmoja aliniambia ayo mabati ya kuezekea makanisa!!!!!!!lol
Hii ya MM STEEL MILLS feki haifai ndugu ALAF ndo mpango mzima.
Ulizia kampuni inayoitwa NABAKI AFRIKA UKO MBEZI BEACH, NASKIA WANAUZA BEI NZURI
mkuu nishafika ALAF uduma bomba sana nishawalipa chao nasubiri mzigo wameniambia watani inform withn 7days via phone