Nitapata wapi fundi mzuri wa TV ?

Nitapata wapi fundi mzuri wa TV ?

mauro

Senior Member
Joined
Nov 28, 2011
Posts
108
Reaction score
34
Habari za Leo wanajamvi,

Nimepata tatizo la kuungua power supply wa TV yangu LG (FLatscreen) nimepeleka kwa mafundi kama 4 wote wameshindwa. Je kuna mtu anafahamu wapi naweza pata mafundi wazoefu ? Kwenye maduka ya LG nimewaomba ikashindikana kwani sikununua hii TV hapa Tz kwenye maduka yao.
 
Nipo Dar es salaam @ Alkelokas
 
kaka ww ambae upo iringa twaweza meet siku 1, mim mwenyewe nipo hapa nafanya shughuli hizo hizo
 
Kwani wewe upo mkoa gani ningejarbu kukufanyia modification ya power supply kulingana na voltage zake.
Nami pia nina tatizo upandev wa TV yangu kwani upande wa kulia chini rangi zimekuwa "distorted" zinaiingiliana hivi inakuwa kam upinde wa mvua je hilo tatizo lina suluhisho?
 
Alkelokas;9463429]Tatzo mi nko Iringa.[/QUOTE] je ni nini cha kufanya ? kuna uwezekano wa kutengeneza power supply nyingine ama hadi nitafute aina hii hii ?

Usahauri wako ni nini ?
 
Inawezekana vyote viwili,ama kutafuta original yake ama kufanya kama nlivokuelezea.
 
Nami pia nina tatizo upandev wa TV yangu kwani upande wa kulia chini rangi zimekuwa "distorted" zinaiingiliana hivi inakuwa kam upinde wa mvua je hilo tatizo lina suluhisho?

Jaribu kutafuta sumaku kisha washa tv na pitisha Sumaku sehemu yenye huo upinde kwa kupeleka juu au chini kulingana na umbali utaokua karibu kwa kuliondoa hilo tatizo, hakikisha kua tv inapokaa hakuna sumaku karibu maana huasababisha hiyo hali.
 
Jaribu kutafuta sumaku kisha washa tv na pitisha Sumaku sehemu yenye huo upinde kwa kupeleka juu au chini kulingana na umbali utaokua karibu kwa kuliondoa hilo tatizo, hakikisha kua tv inapokaa hakuna sumaku karibu maana huasababisha hiyo hali.

Nashukuru sana, TV husika nimeishaiweka stoo hata hivyo nitafuata ushauri wako ikipona nampa dogo anayeanza maisha
 
Alkelokas @ je unaweza kunitengenezea mpya ama hii iliyoungua utaipataje ?
 
Yan inatakiwa hyo original iwepo au nifaham ilikuwa ina voltage ngap,
 
Kwani wewe upo mkoa gani ningejarbu kukufanyia modification ya power supply kulingana na voltage zake.

yes huu ndio ufundi sio mambo ya kurepair kwa style ya kufungua na kufunga kipya
 
dah wakuu mi flatscreen yangu ya TCL 32' inaonyesha chenga tupu sijajua kuna tatizo gani limetokea...wapi ntapata fundi nipo kibaha
 
Back
Top Bottom