Nitapata mke mwema Jf?

Nitapata mke mwema Jf?

hapo kwenye RED ndo wanafanyaje? ni kwamba unamwomba tu Bwana akuletee nyumbani au unamwomba Bwana huku unatafuta akuonyeshe yupi ni bora kwako?
haya maandiko wakati mwingine tunayazungumza bila kuyaelewa.
All the best BIREGU, katika tafuta yako mwombe na Mungu akufunulie

Yani haya maandiko kila mtu anajipindishia kwake..Utafikiri imeandikwa mke mwema utampata kanisani kwa kakobe au kwa mtume na nabii..Hao wanaenda kanisani haohao wapo hapa Jf..
BIREGU tulia na kila baraka iwe nawe umpate wa kufanana nawe popote pale Mungu atakapokukutanisha nae
 
Last edited by a moderator:
Nimekupata vema FP nilichokiandika nakielewa ukimuomba Bwana yeye ndo atakuongoza namna ya kumpata mkeo au mmeo ndiyo unaweza funuliwa katika maono,unaweza kutana na mkaka/mdada ukasikia sauti ya Roho mt. akisema huyu ndo mkeo/mmeo,mnaweza kuwa marafiki wa kawaida bila kumega mkate baadaye Bwana anawathibitishia kuwa ninyinyi ni mke na mme,ila haya ni mambo ya ndani sana ya kiimani wengi wanaweza pinga kwa sababu mambo haya yanahitaji utakatifu na uongozi wa Roho mt. hayo tu kwa machache.kama mambo ya kiimani yamekupita kushoto pole ila jipe moyo.
Imani Imani Imani..... well!
naomba nisiseme kitu kuhusu Imani
 
Yani haya maandiko kila mtu anajipindishia kwake..Utafikiri imeandikwa mke mwema utampata kanisani kwa kakobe au kwa mtume na nabii..Hao wanaenda kanisani haohao wapo hapa Jf..
BIREGU tulia na kila baraka iwe nawe umpate wa kufanana nawe popote pale Mungu atakapokukutanisha nae
Thank you!
 
Mke mwema anatoka kwa bwana sio jf. Ila jf yaweza kuwa njia ya kukutanisha nae,,,akili kumkichwa. Mwenye masikio na asikie

Madame B amesikia...
pole mkuu mwenyezi mungu akujalia haja wa moyo wako
 
Last edited by a moderator:
Nimekupata vema FP nilichokiandika nakielewa ukimuomba Bwana yeye ndo atakuongoza namna ya kumpata mkeo au mmeo ndiyo unaweza funuliwa katika maono,unaweza kutana na mkaka/mdada ukasikia sauti ya Roho mt. akisema huyu ndo mkeo/mmeo,mnaweza kuwa marafiki wa kawaida bila kumega mkate baadaye Bwana anawathibitishia kuwa ninyinyi ni mke na mme,ila haya ni mambo ya ndani sana ya kiimani wengi wanaweza pinga kwa sababu mambo haya yanahitaji utakatifu na uongozi wa Roho mt. hayo tu kwa machache.kama mambo ya kiimani yamekupita kushoto pole ila jipe moyo.

Hata waliookoka ni wachache sana wanaweza kuisikia sauti ya Roho Mtakatifu kwa kiwango hicho na kumtii..Ndio maana mtume PAULO alionya kuhus viwango vya imani katika kanisa na kusema wale wenye imani kubwa wasidharau wenye imani ndogo na kila mtu atende kwa kadri ya imani yake..Lakn huwezi kumhukumu mtu eti sio wa Mungu kama imani yake ni haba. Na kwa dizaini hii ndio maana kufunuliwa fake kwa wachumba kumezidi makanisani na ndoa zao ni ndoano vilevile bora hata ndoa za mataifa zina furaha na upendo
 
Yaani umefika kabisa, malaika wa bwana kaniambia wewe utakuwa wangu nami wako. Sitokuangusha wala kuwa na tamaa za Aston martin wakati uwezo wetu ni VW. Nitaahidi kukupenda kwa dhati mpaka mwisho wa dahari.
 
hata waliookoka ni wachache sana wanaweza kuisikia sauti ya roho mtakatifu kwa kiwango hicho na kumtii..ndio maana mtume paulo alionya kuhus viwango vya imani katika kanisa na kusema wale wenye imani kubwa wasidharau wenye imani ndogo na kila mtu atende kwa kadri ya imani yake..lakn huwezi kumhukumu mtu eti sio wa mungu kama imani yake ni haba. Na kwa dizaini hii ndio maana kufunuliwa fake kwa wachumba kumezidi makanisani na ndoa zao ni ndoano vilevile bora hata ndoa za mataifa zina furaha na upendo

kumbe!
 
Nimekuwa na mpenzi wangu kisha kuwa wachumba kwa muda wa miaka 7 wakati tupo kwenye mchakato wa ndoa alifariki ghafla kwa ajari,niliskitika sana na ilinichukua muda kufikilia kuoa,sasa ni mwaka wa tatu tangu kifo chake.Roho kiasi imetulia natafuta mke mwema wa kuoa.
Awe mcha Mungu Mkristo
awe anajua kuchanganua mambo-msomi kiasi kuanzia diploma na kuendelea
Awe mpenda maendeleo.

mwenyenia hiyo aweza kujitokeza tuanze mchakato wa maisha ya pamoja kama tukiridhiana.

utapata tu we nenda jukwaa la LOVE CONNECT
 
Mungu atakusaidi utapata kupitia hapa hapa jf, endelea kumuomba Mungu
 
Nimekupata vema FP nilichokiandika nakielewa ukimuomba Bwana yeye ndo atakuongoza namna ya kumpata mkeo au mmeo ndiyo unaweza funuliwa katika maono,unaweza kutana na mkaka/mdada ukasikia sauti ya Roho mt. akisema huyu ndo mkeo/mmeo,mnaweza kuwa marafiki wa kawaida bila kumega mkate baadaye Bwana anawathibitishia kuwa ninyinyi ni mke na mme,ila haya ni mambo ya ndani sana ya kiimani wengi wanaweza pinga kwa sababu mambo haya yanahitaji utakatifu na uongozi wa Roho mt. hayo tu kwa machache.kama mambo ya kiimani yamekupita kushoto pole ila jipe moyo.

Im born again,ila kazi ipo!
 
Nimekuwa na mpenzi wangu kisha kuwa wachumba kwa muda wa miaka 7 wakati tupo kwenye mchakato wa ndoa alifariki ghafla kwa ajari,niliskitika sana na ilinichukua muda kufikilia kuoa,sasa ni mwaka wa tatu tangu kifo chake.Roho kiasi imetulia natafuta mke mwema wa kuoa.
Awe mcha Mungu Mkristo
awe anajua kuchanganua mambo-msomi kiasi kuanzia diploma na kuendelea
Awe mpenda maendeleo.

mwenyenia hiyo aweza kujitokeza tuanze mchakato wa maisha ya pamoja kama tukiridhiana.
Poule, hop utapata, zidisha sala........last week si ulitoa tena tangazo, hukupata??
 
Mke mwema anatoka kwa bwana sio jf. Ila jf yaweza kuwa njia ya kukutanisha nae,,,akili kumkichwa. Mwenye masikio na asikie

Anaweza akatoka jf pia kwani Mungu anapoamua kumpa mtu mume au mke mwema huwa anawatoa sehemu special?
 
Nimekuwa na mpenzi wangu kisha kuwa wachumba kwa muda wa miaka 7 wakati tupo kwenye mchakato wa ndoa alifariki ghafla kwa ajari,niliskitika sana na ilinichukua muda kufikilia kuoa,sasa ni mwaka wa tatu tangu kifo chake.Roho kiasi imetulia natafuta mke mwema wa kuoa.
Awe mcha Mungu Mkristo
awe anajua kuchanganua mambo-msomi kiasi kuanzia diploma na kuendelea
Awe mpenda maendeleo

mwenyenia hiyo aweza kujitokeza tuanze mchakato wa maisha ya pamoja kama tukiridhiana.
...........a u serious!if yes ni PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom