Tumeachana mwezi wa kwanza lakin mi bado nampenda na ninamkumbuka mda wote chanzo mara ya kwanza akaomba yeye tuachane sababu ni kwamba kila kitu nalalamika kuhusu yeye akanambia kwamba mimi naona sikudeserve tuachane.
Ugomvi ulikuwa mkubwa ndugu wakaingilia kati wakatupatanisha mapenzi yakaendelea ugomvi wa sasa chanzo ni mimi ataki kunisamehe kabisa ila nikimpigia anapokea cm tunaongea tu poa ila sio mambo ya mapenzi tena nifanyej bado roho inaniuma!!
Nikisikia sauti yake nikishakata siim roho inauma natamani tuendelee kuongea tu najisikia raha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugomvi ulikuwa mkubwa ndugu wakaingilia kati wakatupatanisha mapenzi yakaendelea ugomvi wa sasa chanzo ni mimi ataki kunisamehe kabisa ila nikimpigia anapokea cm tunaongea tu poa ila sio mambo ya mapenzi tena nifanyej bado roho inaniuma!!
Nikisikia sauti yake nikishakata siim roho inauma natamani tuendelee kuongea tu najisikia raha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
