- Thread starter
- #21
Siyo kura tu nenda kalale naye kabisa
Ikibidi, nitafanya hivyo. Kwani ulitaka wewe tu ndiyo ulale na Makufuli?
Siyo kura tu nenda kalale naye kabisa
Haijalishi kama UKAWA wataniletea maendeleo au la! Lakini mimi na nyumba yangu tutamchagua Mh. Lowassa ili kuionesha dunia kwamba Tanzania ni ya watu wote, si ya ccm pekee!
Hata aje mtu mwingine kuniambia Mh. EN. LOWASSA ni 'vampire' still nitampa kura yangu; simply because nimeamua kuwa yatosha sasa kwa ccm after 54 years below par performance!
CC:
Wana #UKAWA pamoja na wooote wapendao mabadiliko Tanzania!
haijalishi kama ukawa wataniletea maendeleo au la! Lakini mimi na nyumba yangu tutamchagua mh. Lowassa ili kuionesha dunia kwamba tanzania ni ya watu wote, si ya ccm pekee!
Hata aje mtu mwingine kuniambia mh. En. Lowassa ni 'vampire' still nitampa kura yangu; simply because nimeamua kuwa yatosha sasa kwa ccm after 54 years below par performance!
Cc:
Wana #ukawa pamoja na wooote wapendao mabadiliko tanzania!
Baada ya campaign ya mama sema na mwanao nikaona kweli ngoja niseme na wanangu. Nikawaita housegirl na kijana wa bustani kujua wao watampigia nani kura bila kupoteza muda kila mmoja akapiga kelele 'Lowasaaaaa!' Nikajisemea kumbe sina kazi ya kusema na wanangu hao.
Haijalishi kama UKAWA wataniletea maendeleo au la! Lakini mimi na nyumba yangu tutamchagua Mh. Lowassa ili kuionesha dunia kwamba Tanzania ni ya watu wote, si ya ccm pekee!
Hata aje mtu mwingine kuniambia Mh. EN. LOWASSA ni 'vampire' still nitampa kura yangu; simply because nimeamua kuwa yatosha sasa kwa ccm after 54 years below par performance!
CC:
Wana #UKAWA pamoja na wooote wapendao mabadiliko Tanzania!
We do a great job.Hahahaaaaa nimekupendaje? Mimi mwenzio nina kazi ya kuwashawishi mahouse girl wa watu na wale ambao naona hawajui sana kuhusu siasa.
Matokeo ni mazuri kwakweli, naifanya kazi kisawasawa ya kumtafutia Lowassa kura.
Hahahaaaaa nimekupendaje? Mimi mwenzio nina kazi ya kuwashawishi mahouse girl wa watu na wale ambao naona hawajui sana kuhusu siasa.
Matokeo ni mazuri kwakweli, naifanya kazi kisawasawa ya kumtafutia Lowassa kura.