Nitampigia kura Edward Ngoyai Lowassa!

Nitampigia kura Edward Ngoyai Lowassa!

Mwisawa

Senior Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
175
Reaction score
65
Haijalishi kama UKAWA wataniletea maendeleo au la! Lakini mimi na nyumba yangu tutamchagua Mh. Lowassa ili kuionesha dunia kwamba Tanzania ni ya watu wote, si ya CCM pekee!

Hata aje mtu mwingine kuniambia Mh. EN. LOWASSA ni 'vampire' still nitampa kura yangu; simply because nimeamua kuwa yatosha sasa kwa CCM after 54 years below par performance!

CC:
Wana #UKAWA pamoja na wooote wapendao mabadiliko Tanzania!
 
Ata mimi na wenzangu wote wa Kigamboni tulioambiwa tupige mbizi,na wajomba zangu wote waliounjiwa nyumba zao bila kulipwa fidia
 
Hata mimi..mke wangu..mama yangu..mama mkwe..baba mkwe..shemeji yangu anayeishi kwangu pamoja na house girl wangu tutamchagua lowasa...
 
Mimi na uzao wangu kura kwa Ngoyayi na hatuhitaji campaign
 
Haijalishi kama UKAWA wataniletea maendeleo au la! Lakini mimi na nyumba yangu tutamchagua Mh. Lowassa ili kuionesha dunia kwamba Tanzania ni ya watu wote, si ya ccm pekee!
Hata aje mtu mwingine kuniambia Mh. EN. LOWASSA ni 'vampire' still nitampa kura yangu; simply because nimeamua kuwa yatosha sasa kwa ccm after 54 years below par performance!
CC:
Wana #UKAWA pamoja na wooote wapendao mabadiliko Tanzania!

Siyo kura tu nenda kalale naye kabisa
 
Last edited by a moderator:
Lowasaa ni sawa na hewa, usipoivuta utakufa. Sina mpango wa kufa hivi karibuni kwa hiyo lazima nivute hewa.
 
Baada ya campaign ya mama sema na mwanao nikaona kweli ngoja niseme na wanangu. Nikawaita housegirl na kijana wa bustani kujua wao watampigia nani kura bila kupoteza muda kila mmoja akapiga kelele 'Lowasaaaaa!' Nikajisemea kumbe sina kazi ya kusema na wanangu hao.
 
Kwasasa Hakuna Chama Kinachoitawa Chadema.Chadema Imeshauzwa Imeamia Kwenye Briefcase Ya Lowassa.Kura Yangu Nampa Magufuli Ana Kila Sifa Ya Kua Kiongozi Bora.Kura Yangu Haiendi Kwa Fisadi Kamwe
 
Wana Jf... Kwa sasa tayari tumeshakimbia misri kwa farao tupo njiani tunaekeea kanaani... Ni nani wakutushawishi tusitishe agano letu.. Hata kukiwa gharika gani na mawimbi ya aina gani daima lowaasa mbele kwa mbele... Mimi si nyumba yangu tu Bali kila atakayeinua kinywa dhidi ya lowasa nitamrudisha kundini. Watapambana lakini hawatashinda..... Lowasa 2015-20
 
Sera ya elimu elimu elimu itasaidia sana watz haswa wale wahafidhina Wa ccm wasioamini mabadiloko....
 
Sure hata kama mbowe na tundu lisu mtatumika na ccm mahaba yapo pale pale...mafuriko yanaelekea kusini kwa kasi
 
kweli kabisa hata Mimi na familia yangu yote
 
Back
Top Bottom