Nitampigia Kampeni Lissu mpaka ashinde

Nitampigia Kampeni Lissu mpaka ashinde

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
23,157
Reaction score
34,786
Baada ya Mh Mbowe kutangaza rasmi kuwa atagombea Uenyekiti wa chama, naahidi kumpigia kampeni Lissu mpaka ashinde. Na nikiona anafanyiwa figisu nitamshauri ajitoe awe mwanachama wa kawaida.
 
Back
Top Bottom