Mlandege
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,198
- 582
wela wela welaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mtoto kanitafuta leo jaman
Kumbe ni mtoto
wela wela welaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mtoto kanitafuta leo jaman
mhm...thats hard to bliv...yaani umependa au umetamani?
wela wela welaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mtoto kanitafuta leo jaman
habar wana jf
wiki moja imepita sasa nilikuwa nimekwenda chuo kikokwe kufuatilia chet changu katika kurusha macho uku na uko nikatokea kumwona mdada mmoja mzuri, kiukwel amenivutia ile sana nilitamani awe mke wangu, ilikuwa sehemu ya chakula alikuwa amekaa wakati mimi nahudumiwa! bila kusita na japokuwa zilikuwa sehemu nyingi ziko wazi za kukaa ikanibidi niende alipokuwa amekaa yeye na kumwomba tukae wote,nae bila kinyongo alinikaribisha,tulifahamiana na alikuwa hajisikii kula lakin nilimshawishi kula chakula ambacho niligharamia mimi,tulimaliza kula akaomba nimsindikize anaelekea darasan ,nami nikamsindikiza kila ninapotaka kuishia aniambia tuendelee ,gafla akapigiwa simu sikujua ilikuwa inatoka wapi maana ilimstua na hakuwa na muda tena wa kuongea.nikajikuta nimetoa businesscard yangu na kumpa nikimsihii baadae anitafute kwa haraka akaichukua na kukimbia alipopigiwa simu,
jamani jaman leo siku ya 7 cjapata ata missed call ya namba mpya najuta kwanini sikuchukua namba yake muda wote,namfikiria yeye jinsi alivyonikosha moyon nimetokea kumpenda sana jinsi alivyo na ata sijui nitampataje nachokumbuka jina lake moja la kwanza na bado sina hakika nalo,course anayosoma,mwaka anaosoma na hall analoishi sina zaidi ya details hizo,naombeni mnishauri nitampataje ili nimwambie yangu ya moyoni na nilishakosea kutochukua namba yake tangu mwazon, anitoki kichwa kila cku namkumbuka yeye tu.
Hiyo sim aliyopokea ni ya yule aliyekuwa anamsubiria hiyo sehemu ya chakula, ndio maana alivyoona muda unakaribia msela wake kufika akakuzuga umsindikize darasani.
unanikumbusha stori ya mkuu wa mkoa wa zamano morogoro Mashishanga alivoonana na binti ambaye alikuja kumuoa...eti alikuwa kahama kwenye theatre kama daktari basi kapita binti anaenda kwa mgonjwa, akatega. Wakati anarud akapta spidi,sasa mzee mashishanga akatoka theatre na kumfuata,binti akatimka mbio,jamaa akafukuza bila mafanikio,akarudi theatre na mawazo lukuki , akakata tamaa...Mungu bariki baada ya wiki binti akarud hops.then jamaa akafuatilia tena ndo ukawa mwanzo wao...very interesting...msubiri mola atakujibu.