nitampataje

nitampataje

Nipe maelekezo nikuchoree mchoro kama FBI, vinginevyo usubiri akutafute baada ya kupigwa chini na jamaa yake kutokana na kumpiga sana mizinga!
 
mhmh mtihan mzito ila kwn hupajui anaposoma au kashamaliza na km kashamaliza hebu jaribu kwenda kumulizia hapo alipokuwa au anaposoma utampata 2 uckate tamaa kwn milima kwa milima haikutan bt binadamu kwa binadamu wanakutana so kaza moyo konde uckate tamaa na ukiachilia hvy utazid kuumia kwa mawazo utakuja kuwa km diamond kwa mawazo
 
Kumpa bussnesscard haikua njia sahihi kwa muda ule ilikua umpe pesa ya vocha ya kukupigia au wewe uchukue no yake ili uweze kuendelea kueleza hisia zako yeye alikua ametulia anataga wewe ndio umefika bei rudi chuo tena
 
habar wana jf
wiki moja imepita sasa nilikuwa nimekwenda chuo kikokwe kufuatilia chet changu katika kurusha macho uku na uko nikatokea kumwona mdada mmoja mzuri, kiukwel amenivutia ile sana nilitamani awe mke wangu, ilikuwa sehemu ya chakula alikuwa amekaa wakati mimi nahudumiwa! bila kusita na japokuwa zilikuwa sehemu nyingi ziko wazi za kukaa ikanibidi niende alipokuwa amekaa yeye na kumwomba tukae wote,nae bila kinyongo alinikaribisha,tulifahamiana na alikuwa hajisikii kula lakin nilimshawishi kula chakula ambacho niligharamia mimi,tulimaliza kula akaomba nimsindikize anaelekea darasan ,nami nikamsindikiza kila ninapotaka kuishia aniambia tuendelee ,gafla akapigiwa simu sikujua ilikuwa inatoka wapi maana ilimstua na hakuwa na muda tena wa kuongea.nikajikuta nimetoa businesscard yangu na kumpa nikimsihii baadae anitafute kwa haraka akaichukua na kukimbia alipopigiwa simu,
jamani jaman leo siku ya 7 cjapata ata missed call ya namba mpya najuta kwanini sikuchukua namba yake muda wote,namfikiria yeye jinsi alivyonikosha moyon nimetokea kumpenda sana jinsi alivyo na ata sijui nitampataje nachokumbuka jina lake moja la kwanza na bado sina hakika nalo,course anayosoma,mwaka anaosoma na hall analoishi sina zaidi ya details hizo,naombeni mnishauri nitampataje ili nimwambie yangu ya moyoni na nilishakosea kutochukua namba yake tangu mwazon, anitoki kichwa kila cku namkumbuka yeye tu.

Undo hizo process hadi hapo pa chakula...
Lazima atakuja tena hapo kuwinda...
 
Hiyo sim aliyopokea ni ya yule aliyekuwa anamsubiria hiyo sehemu ya chakula, ndio maana alivyoona muda unakaribia msela wake kufika akakuzuga umsindikize darasani.

mzee umetisha kwa kuwajua hao watoto wa chuo,,,wana balaaa wee acha tuu!!!
 
unanikumbusha stori ya mkuu wa mkoa wa zamano morogoro Mashishanga alivoonana na binti ambaye alikuja kumuoa...eti alikuwa kahama kwenye theatre kama daktari basi kapita binti anaenda kwa mgonjwa, akatega. Wakati anarud akapta spidi,sasa mzee mashishanga akatoka theatre na kumfuata,binti akatimka mbio,jamaa akafukuza bila mafanikio,akarudi theatre na mawazo lukuki , akakata tamaa...Mungu bariki baada ya wiki binti akarud hops.then jamaa akafuatilia tena ndo ukawa mwanzo wao...very interesting...msubiri mola atakujibu.

Ulisikia jinsi babu alivyokuwa anacheka? Kumpata msichana pekee anayefahamu kuendesha baiskeli zama hizo! Niliipenda sana....
 
Du business card tena, yawezekana aliona business card yako ni ya kawaida sana akaamua kupotezea.Wewe ndugu yangu unashindwa kuchukua namba anaacha vijikaratasi ambavo anaweza hata akakipoteza ama akakifulia kwenye nguo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom