nitampataje

nitampataje

Yaani ulimkuta kakaa na misosi ambayo hana appettite nayo, na kisha ukalipia na kumshawishi kula?
Naomba tukutane udasa lunch time tafadhali.
hapana! hakuwa na chakula ila alikuwa anafikiria ale nini mimi ndo nikamshauri chakula ambacho anaweza kula na nikakilipia,poa niprivate kwa namba yako nitakuja
 
kuwa na subira wahenga walisema SUBIRA HUVUTA KHERI NA MVUMILIVU HULA MBIVU cjui ya kweli au yalikuwa maneno tu?
 
Mmmh pole...huyo ninamashaka nae pili wewe hata kwenye kutongoza unatoa business card?

Hahaha aisee tafuta kozi bwana...it shuld be exchange of numbers not one way around
asante kaka amenipigia leo siamini
 
wela wela welaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mtoto kanitafuta leo jaman
 
Kaka kuna business card nimeikuta kwenye dust bin..sio yako kweli?ngoja niiscan niiweke hapa
 
habar wana jf
wiki moja imepita sasa nilikuwa nimekwenda chuo kikokwe kufuatilia chet changu katika kurusha macho uku na uko nikatokea kumwona mdada mmoja mzuri, kiukwel amenivutia ile sana nilitamani awe mke wangu, ilikuwa sehemu ya chakula alikuwa amekaa wakati mimi nahudumiwa! bila kusita na japokuwa zilikuwa sehemu nyingi ziko wazi za kukaa ikanibidi niende alipokuwa amekaa yeye na kumwomba tukae wote,nae bila kinyongo alinikaribisha,tulifahamiana na alikuwa hajisikii kula lakin nilimshawishi kula chakula ambacho niligharamia mimi,tulimaliza kula akaomba nimsindikize anaelekea darasan ,nami nikamsindikiza kila ninapotaka kuishia aniambia tuendelee ,gafla akapigiwa simu sikujua ilikuwa inatoka wapi maana ilimstua na hakuwa na muda tena wa kuongea.nikajikuta nimetoa businesscard yangu na kumpa nikimsihii baadae anitafute kwa haraka akaichukua na kukimbia alipopigiwa simu,
jamani jaman leo siku ya 7 cjapata ata missed call ya namba mpya najuta kwanini sikuchukua namba yake muda wote,namfikiria yeye jinsi alivyonikosha moyon nimetokea kumpenda sana jinsi alivyo na ata sijui nitampataje nachokumbuka jina lake moja la kwanza na bado sina hakika nalo,course anayosoma,mwaka anaosoma na hall analoishi sina zaidi ya details hizo,naombeni mnishauri nitampataje ili nimwambie yangu ya moyoni na nilishakosea kutochukua namba yake tangu mwazon, anitoki kichwa kila cku namkumbuka yeye tu.

si urudi tu pale chuoni......usiniambie huna muda kwa sababu kama kweli umempenda utapata muda....
 
unanikumbusha stori ya mkuu wa mkoa wa zamano morogoro Mashishanga alivoonana na binti ambaye alikuja kumuoa...eti alikuwa kahama kwenye theatre kama daktari basi kapita binti anaenda kwa mgonjwa, akatega. Wakati anarud akapta spidi,sasa mzee mashishanga akatoka theatre na kumfuata,binti akatimka mbio,jamaa akafukuza bila mafanikio,akarudi theatre na mawazo lukuki , akakata tamaa...Mungu bariki baada ya wiki binti akarud hops.then jamaa akafuatilia tena ndo ukawa mwanzo wao...very interesting...msubiri mola atakujibu.
 
kamngojee pale pale atakuja tena.

usikate tamaaa
 
wela wela welaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mtoto kanitafuta leo jaman
Alisoma uzi wako humu jamvin akaona si vbaya akikutafuta,sasa angalia usijeshndwa kuhifadhi namba afu uje tena kutuambia hukuhifadhi namba zake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom