Nashon daniel.
Senior Member
- Jan 7, 2015
- 100
- 187
Wana Jf,
Naishi na mke na watoto wawili wadogo, mimi na mke wangu sote ni wafanyakazi. Mke wangu ni mwalimu nami nafanya kazi za marketing.
Mie huwa nawahi toka job mapema kwa kazi ya field huwa namaliza mapema kulingana na ratiba ya siku, wife anatoka job saa kumi na mbili jioni.
Nyumbani niko na dada wa kazi mwenye umri wa miaka 26, dada huyu anamazoea sana nami kiasi kwamba hata udiriki kuniomba ushauri pale anapokuwa na hisia za mapenzi afanye nini kwani anawaogopa wanaume eti hajawazoea kama alivyo nizoea mimi.
Kidogo kidogo najikuta naanza kumtamani huyu dada, naye nahisi kama kajua namtamani, sijui nifanye nini nafikiria kumrudisha kwao ila siwezi kwani hakuna wakukaa na watoto.
Naombeni maujanja jamani nifanye nini.
Naishi na mke na watoto wawili wadogo, mimi na mke wangu sote ni wafanyakazi. Mke wangu ni mwalimu nami nafanya kazi za marketing.
Mie huwa nawahi toka job mapema kwa kazi ya field huwa namaliza mapema kulingana na ratiba ya siku, wife anatoka job saa kumi na mbili jioni.
Nyumbani niko na dada wa kazi mwenye umri wa miaka 26, dada huyu anamazoea sana nami kiasi kwamba hata udiriki kuniomba ushauri pale anapokuwa na hisia za mapenzi afanye nini kwani anawaogopa wanaume eti hajawazoea kama alivyo nizoea mimi.
Kidogo kidogo najikuta naanza kumtamani huyu dada, naye nahisi kama kajua namtamani, sijui nifanye nini nafikiria kumrudisha kwao ila siwezi kwani hakuna wakukaa na watoto.
Naombeni maujanja jamani nifanye nini.