Nitakufa Mara Ya Pili

Hizi stori, sitafuatilia tena maana nimekuwa teja toka kwa mjeda na my wit wake.

Hapa waweza limwa memo

Tuwe pamoja kiongozi
Nakutegemea hata kwa stori tam na kusisimua
Ijayo baada ya hii Mungu Akijaalia!
 
Kaka asante sana.Daa my three days have gone well.Thanx once again.
 
Mkuu Majigo umeniacha na maswali mengi, an anyway, nachukulia kama stori tu, ngumu kumesa kwa kweli!

Kwa hiyo hujawahi kwenda kwenu tena? Mama Helena na Helena na Sabina wanaendeleaje?
 
Last edited by a moderator:

MAJIGO,

Je, hii ni hadithi ya Kweli au??? nijibu tafadhali nina maswali mengi juu ya stori yako hii!!
 

NOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
I cant believe ni simulizi ya kweli; bwana sio vizuri hivyo!
 
NOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
I cant believe ni simulizi ya kweli; bwana sio vizuri hivyo!

Dah, umeona? Bado siamini kama ni kweli.

Aje ahakikishe kuwa ni kweli hapa!
 
Mkuu Majigo umeniacha na maswali mengi, an anyway, nachukulia kama stori tu, ngumu kumesa kwa kweli!

Kwa hiyo hujawahi kwenda kwenu tena? Mama Helena na Helena na Sabina wanaendeleaje?

We MESTOD, jiulize maswali tu huku unalimwa memo kwa ufanisi wako wa kazi Kuwa duni kwa ajili ya kusoma story! Ahahahahahahaaaaa, kama kawa MWANA burudani baada ya kazi ni lazima !

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kisa kizuri chenye kusisimua,mkuu Majigo wewe ndo Shija nini uliyekutwa na huo mkasa?Mazima Mkuu!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Uwanja Ni Wako Mkuu
Mazima

Nashkuru kwa kisa chako very interesting tatizo imeishia pabaya na maswali kibao helen aliporudi kijijin ilikuwaje, mama je sii ataendelea kuiandama familia ya kina shija, kwa sasa shija anaendeleaje. Nawasilisha mkuu
 
Umenitisha ulipomalizia ya kweli kabisa, hii dunia kuna watu wana historia
 
Aixee nimeshinda siku nzima,nasoma ur story,,, if ts true ur such a lucky person
 
Majigo hongera sasa tumtafute muuza ubuyu tumchukue msukule ananguvu sana huyu akatulimie kule kibada
 
mia umetisha mzazi hongera sana nakubali kazi @ Majogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…