Rais aliyejenga chuo kikuu kikubwa Afrika Mashariki na ya Kati, Hii ni college of education pekee, chuo kizima hakiingii kwenye picha moja:
Zomba mkapa aliondoka ameacha plan na misingi mikubwa ya kuanzishwa kwa UDOM na hata jengo la chimwaga alilitoa mkapa kama njia mojawapo ya ku stimulate ujenzi wa chuo hicho kwahiyo pongezi kubwa zinaenda CCM na serikali ya wakati wa mkapa...ndio waliofanya foundation ...ila na serikali na CCM hii wanatakiwa wapongezwe kdg kwa kusimamia kimekamilika kwa anagalau wanafunzi wanasoma....na ilibidi wasimamie maana wangekosa la kuongea