Ngoja nipotezee tu na kuna demu mmoja ananielewa sana mie nampuuza acha niamishe majeshi, japo namuonea huruma maisha yake ila acha nizivue pingu.aah, basi wewe anakuona boya, utawekezaje huduma kwa mtu asiyelipa fadhila?
..Mpige biti kalii kwanza kama hakupi tunda kila mtu apite njia yake.. Aki kubari kula aki kataa endelea na life lingneeNdio alikuwa anampa
Poa mkuu naanza on the spot, kiukweli huyu demu nimemdekeza sana maana nikifikiria maisha yake ya wiki tu bila mimi labda akadangeEmbu kata service kwanza, akiuliza mwambie unazitunza kwa ajili ya baadae asiwe na waswas..
thibitishaKuna manzi namla kama mke wangu kuna siku nipo na machali akapita, kuna chali mmoja akasema yule mchumba wa rafiki yake. Lakini manzi yupo bikra na msela hapewi tunda, hahaha nikasema kuna watu majinga mimi namgegeda yeye hapewi kitu.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Hii ni true story ukiamini sawa na usipo amini ni sawa lakini imetokea kama nilivyo hadisia. Nilimgegeda mchumba wa mtu na mwenye mchumba wake hapewi kitu.thibitisha
Sasa uende jela kwa papuchi utakuwa mfungwa wa ajabu sana.Duh mwana unanipa mahasira naweza mfanya kitu mbaya huyu manzi niende jela
Hahahahaha usinivunje mbavuSasa uende jela kwa papuchi utakuwa mfungwa wa ajabu sana.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Hafai kabisa kuwa baharia huyuWewe sio mtakatifu ni mtakavitu.
ni mpare?Poa mkuu naanza on the spot, kiukweli huyu demu nimemdekeza sana maana nikifikiria maisha yake ya wiki tu bila mimi labda akadange
Hapana..ni wa bukoba hukoni mpare?
jina lake linaanziwa na N?Hapana..ni wa bukoba huko
Hapana.jina lake linaanziwa na N?
Hupendwinipeni mbinu waungwana..kichwa imestuck hapa