Nitaka tunda nitulie..Nitapewaje?

Nitaka tunda nitulie..Nitapewaje?

Status
Not open for further replies.
Una kau nice guy flan hiv ukiwa nae sasa nayeye anakatumia vzur

Shida ya hawa ndugu zetu ukimtreat vizur kwa kumuheshim anakuona boya flan , wakuja , mjinga mjinga flan

Huyo dawa yake pindua coin hyo anza kumtreat ki bad guy flan hiv akil itamkaa sawa

Mambo ya kuambiana utanipa tukioana wakati kuna wana washapita ni ujinga ambao si wa kukubalika hata kidgo
Huu ni ukweli wenyewe
 
Kuna manzi namla kama mke wangu kuna siku nipo na machali akapita, kuna chali mmoja akasema yule mchumba wa rafiki yake. Lakini manzi yupo bikra na msela hapewi tunda, hahaha nikasema kuna watu majinga mimi namgegeda yeye hapewi kitu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Kuna manzi namla kama mke wangu kuna siku nipo na machali akapita, kuna chali mmoja akasema yule mchumba wa rafiki yake. Lakini manzi yupo bikra na msela hapewi tunda, hahaha nikasema kuna watu majinga mimi namgegeda yeye hapewi kitu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Duh mwana unanipa mahasira naweza mfanya kitu mbaya huyu manzi niende jela
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom