Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,307
- 62,516
Wanasema kuchapiwa ni siri ya ndaniNimewashuhudia wengi...hawasemi ukweli kuwa mke amekuwa mzinzi badala yake anatunga uongo eti kiburi or jeuri...sasa ukificha ukweli na sisi wachangiaji tutakujibu kulingana na mada yako fix
Mtu sema ukweli bana...
Sent using Jamii Forums mobile app
duuuuuh hatari sana,Pole kaka mkeo ni meneja crdb maganzo? Na wanao wanasoma little treasures Shinyanga, na kama ni huyo mama toa talaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kaka mkeo ni meneja crdb maganzo? Na wanao wanasoma little treasures Shinyanga, na kama ni huyo mama toa talaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikitokea nimeatengana na huyu wa kwangu wala sitapata shida,nitabeba bag langu na kutokomea kusikojulikana.....pesa,mali,nyumba na magari itabaki kuwa sehemu ya urithi wa watoto wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Don't do that. Una fursa nyingi kwenye maisha. Mungu mwaminifu. Yatapita tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha umalaya, ishi na mkeo kwa amaniHabari wana jf.
Napenda kuwaomba ushauri katika suala langu linalonisibu. Nimeishi kwenye ndoa miaka 13 Mungu akatujalia mafanikio makubwa kiasi tuna uwezo wa kusomesha watoto ada ya 4mil plus.
Tatizo tuna ugomvi mkubwa na wife, baada ya ugomvi interest yake ikawa kwenye mali tulizochuma.
Nikaamua kumuachia mali zote nika move on na kuanza maisha. Ugomvi umeanza tokea April 2018 nimekaa kimya nikiamini anaweza kuregret tukafanya maisha. Nimeona yupo kimya akiamini kama maisha kayaweza.
Nataka nianze process za talaka. Je, unanishauri vipi? Spiritual advises pia nazikaribisha. Bado miezi 2 tutimize mwaka wa kutengana. Tuna nyumba 4 gari moja Kluger, yeye yupo Maganzo shinyanga mimi nipo Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshawahi kumegewa na ukajua??Kama mke hataki kushuka,jifanye mjinga siku iishe utakuwa mjinga siku moja lakini utakuwa na furaha daima,Mungu hapendi kuachana
Sent using Jamii Forums mobile app
ni pm, nkupe dawa, buree sitaki unipe hata mia, ntakuelekeza matumizi, hicho kinachompa kiburi, kitapotea siku hyo hyo, naamin mkeo ataanza kukuamkia shikamoo!! Nb; uwe na roho ngumu!!Nimemsuspect tu kama ana relationship Nje. Ameshindwa kujitetea kawa mbogo anaomba tutengane nikaamua kuishi mbali nae. Lkn bado sijafika mahakamani. Kifamilia tumekaa hataki ndoa hivyo ndo nafikiria huyu Mungu atanihukumu vipi nikienda mahakamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe details tujue ana tatzo gn!Pole kaka mkeo ni meneja crdb maganzo? Na wanao wanasoma little treasures Shinyanga, na kama ni huyo mama toa talaka
Sent using Jamii Forums mobile app