GTA
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 878
- 653
WAYS OF IDENTIFY A GENUINE SAMSUNG GALAXY PHONE OR ORIGINAL VERSUS A FAKE SAMSUNG GALAXY PHONE | ArnoldDonSooNitajuaje kuwa hii kitu chini ni genuine/original and not a copy from unknown source. Hii niliyonayo ( mtu anauza na kudau kuwa ni original) imetengenzwa Vietnam
Samsung Galaxy Tab S 8.4" SM-T705 4G LTE 16GB
Siyo zama za kushare imei ya simu yako kwenye publicimeandikwa hivi: Imei(MEID) AND s/n 354485063413848/01
Sawa mkuu.mkuu post tu hapa hicho utakachokiona kwenye cpu z na aina ya simu
install cpu z toka playstore halafu ifungue halafu angalia soc yake
ukiona inaandika mediatek kama soc ujue hio ni fake
original itakuwa na soc ya snapdragon 800 au exynos octa 5420
kwa njia ya imei 99% ni sahihi ila kama simu imebadilishwa imei unaweza uziwa kimeo,Mkuu chief mara nyingi simu mpya ukiwa dukani aidha ipo kwenye box au chaji imeisha, na wakati mwingine inakua ngumu kwa mwenye duka kukuruhusu uiwekee program.
Je nikitumia njia ya kuchukua information kwenye website ya imei.info itakuakua sawa na hii ya kupitia cpu-z?