al-bauly
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 343
- 108
ingia hapa uone ni original SAMSUNG T705 Galaxy Tab S 8.4 LTE - Full phone specification - IMEI.infoimeandikwa hivi: Imei(MEID) AND s/n 354485063413848/01
ingia hapa uone ni original SAMSUNG T705 Galaxy Tab S 8.4 LTE - Full phone specification - IMEI.infoimeandikwa hivi: Imei(MEID) AND s/n 354485063413848/01
asante sana. Karibu Tanga. Nitafurahi kukufahamu.yap hio ni original
Link imegoma kufungua. I will keep on trying! Asante sana, through Chief Mkwawa nimeweza kuingia soc na kukuta ni kama mlivyonishauri, it is original! Asante sana.ingia hapa uone ni original SAMSUNG T705 Galaxy Tab S 8.4 LTE - Full phone specification - IMEI.info
install cpu z toka playstore halafu ifungue halafu angalia soc yake
ukiona inaandika mediatek kama soc ujue hio ni fake
original itakuwa na soc ya snapdragon 800 au exynos octa 5420
yap samsung zoteVp hii ni Kwa Samsung zote au?
yap samsung zote
ila hizo snapdragon 800 na exynos 5420 si simu zote, namba zitabadilika inaweza kuwa exynos na namba nyengine au snapdragon na namba nyenginePoa Acha na might matches yangu
Sawa mkuuila hizo snapdragon 800 na exynos 5420 si simu zote, namba zitabnadilika inaweza kuwa exynos na namba nyengine au snapdragon na namba nyengine
-soc ni package nzima yenye cpu(processor), gpu, wifi, modem, controller etcMkuu na hizi zilizoandikwa cortex zinakuwaje
Mkuu hii inapply kwa samsang zote au ni maalumu tu kwa aina ya samsunginstall cpu z toka playstore halafu ifungue halafu angalia soc yake
ukiona inaandika mediatek kama soc ujue hio ni fake
original itakuwa na soc ya snapdragon 800 au exynos octa 5420
Mkuu hii inapply kwa simu za samsang zote au ni maalumu tu kwa aina ya samsung tu?install cpu z toka playstore halafu ifungue halafu angalia soc yake
ukiona inaandika mediatek kama soc ujue hio ni fake
original itakuwa na soc ya snapdragon 800 au exynos octa 5420
mkuu nimeshajibu hapo juu ni samsung zote ila aina ya snapdragon na exynos ndio zitatofautiana. pia zipo samsung za spectrum ila sijawahi ona ya mediatek.Mkuu hii inapply kwa simu za samsang zote au ni maalumu tu kwa aina ya samsung tu?
Ahsante sana mkuu, nimekupata siku nikitaka kufanya hayo manunuzi nitakukonsalti nikiwa nayo mkononi kujua zaidi.Kuna wakati nilikuwa na no yako ila nadhani ilipotea so ntku pm unisaide no yako kama hutojali.mkuu nimeshajibu hapo juu ni samsung zote ila aina ya snapdragon na exynos ndio zitatofautiana. pia zipo samsung za spectrum ila sijawahi ona ya mediatek.
cha muhimu specs za cpu-z zifanane na specs halisi. specs halisi unazipata kwenye website ya samsung au site kama gsmarena na phonearena
mkuu post tu hapa hicho utakachokiona kwenye cpu z na aina ya simuAhsante sana mkuu, nimekupata siku nikitaka kufanya hayo manunuzi nitakukonsalti nikiwa nayo mkononi kujua zaidi.Kuna wakati nilikuwa na no yako ila nadhani ilipotea so ntku pm unisaide no yako kama hutojali.
njia ni hio hioMkuu Chief Mkwawa.....naomba msaada kujua/kutambua simu za SONY hasa hizi SONY EXPERIA,naitambuaje ambayo ni fake mkuu?