Nitajuaje kama mke wangu amenisaliti

Nitajuaje kama mke wangu amenisaliti

ligera

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2014
Posts
2,646
Reaction score
1,172
Kazi anayofanya mke wangu inamfanya arudi wakati mwingine usiku na anapofika huwa ananiambia sababu za kuchelewa kwake kurudi hata hivyo huwa siziamini sana kwani siku hizi waviziaji wa wake za watu ni wengi mno ukiwaliza sababu utawasikia wakisema wanawake wazuri wote wameolewa waliobaki ni shiiida tu.

Anayejua mbinu ya kubaini kwamba mke kagegedwa aniambie ili niwe najiridhisha kila mke wangu anaporudi nyumbani.
 
Ukimchunguza sana KUKU huwezi kumla hata siku moja nashauri ufute kauli tu usije kufa siku sio zako bro!!!!
 
Kazi anayofanya mke wangu inamfanya arudi wakati mwingine usiku na anapofika huwa ananiambia sababu za kuchelewa kwake kurudi hata hivyo huwa siziamini sana kwani siku hizi waviziaji wa wake za watu ni wengi mno ukiwaliza sababu utawasikia wakisema wanawake wazuri wote wameolewa waliobaki ni shiiida tu.

Anayejua mbinu ya kubaini kwamba mke kagegedwa aniambie ili niwe najiridhisha kila mke wangu anaporudi nyumbani.

Atakuwa na alama nyeupe puani!
 
Mkuu kubali tu kuwa Duniani kuna hii kitu ya kuibiwa, nina tatizo kama lako na mimi wangu analudi mpaka saa tano kisa kazi tumechelewa kutoka usafiri shida na blah blah kibao. Mi ninachoangalia saa hizi ni future ya watoto sio hizi habari za kuibiwa acha waibe tu na mimi nikitaka si napewa na kinakuwa vile vile.
 
BWANA asipourinda mjia,arindaye akesha bure,hilo suala halina we kama mume mpe mkeo haki zake zote stahili zake mengine yaache kama yalivyo!
 
sijaona haja ya kuanza kuchunguzana kiasi hicho kwan umeona lipi alolifanya likakufanya ukakosa kumuamini kiasi hicho???? usipende kuwaza mabaya huwez jua anafanyiwa hayo au hafanyi jibu analo yeye na kumuuliza ni sawa na kumuuliza mwizi jana uliiba wapi bila kua na uthibitisho.
 
​angalia kwenye kisogo chake nywele zinanyonyoka kidogo
 
weka cctv kwenye mahali vibamia vinaingilia bila ivo utakufa kihoro
 
mmh kisogo na papuchi kutumika vina uhusiano ee
 
Siku moja mpige ambushi , akirudi mvue nguo zote achuchumae halafu mvutishe ugoro ..... Alianza kupiga chafya utapata majibu au mrushe kichura chura labda waweze wanatumia condom.
Ila kingine mkuu mwachishe tu kazi kama una ubavu wa kuhudumiakila kitu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
uwe unazama chumvini SIKU ukiona ladha ya chumvini imebadilika sanaaa UJUE kuna jambo
 
.....na.... zinarudisha papuchi katika hali yake hata kama imekeshewa, hutakaa ujue we piga kimya tu kizuri kula na wenzio, kwani sumu hiyo ule mwenyewe!!!
 
Weka speedometer ukiacha unasoma jioni unaangalia kama ikopalepale ama wensio wamekuongezea
 
Vipimo viko vingi
kwa mfano
Kama hakutumia Condom
Mtie kidole cha nyuma na mbele.
Halafu muwekee ulimi sikioni kama vile wamtekenya.....akicheka tu.....manii zilizobaki hutoka...
 
Mkuu kubali tu kuwa Duniani kuna hii kitu ya kuibiwa, nina tatizo kama lako na mimi wangu analudi mpaka saa tano kisa kazi tumechelewa kutoka usafiri shida na blah blah kibao. Mi ninachoangalia saa hizi ni future ya watoto sio hizi habari za kuibiwa acha waibe tu na mimi nikitaka si napewa na kinakuwa vile vile.


hahaha umenikumbusa rafki yangu mmoja nae alisema wacha wagegede tuu cha msingi 'hawabandui'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom