Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Leo wife alikuwa ananieleza kuwa tangu asubuhi msichana wa kazi ameamka ana hasira nikamjibu labda huyo msichana atakuwa kwenye siku zake ndo maana ana hasira. Wife kafanya uchunguzi wake kagundua ni kweli. Sasa amerudi kwangu eti anasema nilikuwa najua kabla. Anahisi kuna namna si bure.
Mbona kazi rahisi mdogo wangu??
Mwambie kwa msingi huo huo kwamba kazi ya kufanya uchunguzi hajaimaliza...aendele tu kuchunguza na jibu atapata kabla ya mwezi kuandama inshallah!!