Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu

Sorry mkuu, naweza kujua namna ya kupata roof pitch kwa lugha rahisi?
ni kitu kinachonipa shida kidogo.
natanguliza shukrani.
 
sory mkuu, naweza kujua namna ya kupata roof pitch kwa lugha rahisi?
ni kitu kinachonipa shida kidogo.
natanguliza shukrani.
Tumia 4/12 (in inches)formula kupata pitch, ukiwa na maana kwamba, kila inchi 12 unazokwenda mlalo (horizontal distance of the building)basi nenda juu inch 4(vertical). Hiyo ndo nyepesi zaidi kwa majengo ya makazi. Lakin pia unaweza kutumia calculator "arctan RISE/RUN afu weka kwenye degrees badala ya radian"...Ila standard ni 30 degree au 7/12. Isisahau kumsikiliza mteja anataka paa la vipi ili umshauri . ..je kanisa utatumia formula gan?. Ndo maana yangu, zipo formula nyingi Ila nyepesi zaidi ni hiyo Ila kutegemea na Aina ya jengo.
 
Tiles gani nzuri Kwa ukuta?
Kwa maana ya ubora ya size?. KAZI kubwa ya tiles kwenye ukuta ni kuzuia maji yasipenye. Lakin kaz ya pil ni pambo Tu..tiles zote ni nzur kutegemea na nchi.. Ila cha muhim ni ufundi na namna yakutumia grouts, na spancer kwa umakini, siwezi kukutajiq tiles nzur ila kuna fundi mzuri.
 
Je naweza kujenga?
Ndio ..SWALI NI kujenga nini...la msingi Sana kujenga kwa hatua. Bila pressure, kama kwa mwezi unaweza kupata laki mbili kwa ajiri ya bajet ya kujenga .utafamikisha..
.tafuta ardh
,Weka msingi WA vyumba 2
,Pandisha chumba KIMOJA
,Paua
,Jenga Choo
,Weka maji
Alafu anzia hapo ...Nina njia 12 za kukujengea nyumba Kwa bajet ya chini kabisa .Ila MTU AKIOUONA hiyo nyumba atadhan umetumia milion 50M Kumbe 15M.kutegemea na location.
 
Njia sahihi na bora ya kuziba ufa ni ipi?
Kuna Aina nyingi za UFA /CRACK, Na inategemea imeanzia WAPI...kwenye msingi (substructure)au kwenye kuta (superstructure). na ni Aina ipi ya ufa...Ila njia nyepesi kutegemea na na crake lazma uwe na vifaa vifuatavyo,
1.mchanga
2.cement
3.Wavu/nondo/gunia katani.
Tindua hiyo Sehem kwa uzur Sana Ile style ya msalaba, changanya cement (1:3). na mchanga, , Anza na na nondo, then gunia alafufu weka cement (1:3). Hiyo miaka Mia. Hii theory haiusian na RETROFITTING kwenye nguzo. Kumbuka umwagiliaji unaboreshq jengo kwa 80% hivyo usisahau KAZI hiyo kwa week.
 
Ndio ..SWALI NI kujenga nini...la msingi Sana kujenga kwa hatua. Bila pressure, kama kwa mwezi unaweza kupata laki mbili kwa ajiri ya bajet ya kujenga .utafamikisha..
.tafuta ardh
,Weka msingi WA vyumba 2
,Pandisha chumba KIMOJA
,Paua
,Jenga Choo
,Weka maji
Alafu anzia hapo ...Nina njia 12 za kukujengea nyumba Kwa bajet ya chini kabisa .Ila MTU AKIOUONA hiyo nyumba atadhan umetumia milion 50M Kumbe 15M.kutegemea na location.
Labda choo
 
Nataka Kujenga Gorofa Moja Kwaajili Ya Makazi Je Ni Utaratibu Upi Niufuate Kbla Ya Kumleta Fundi
 
Nataka Kujenga Gorofa Moja Kwaajili Ya Makazi Je Ni Utaratibu Upi Niufuate Kbla Ya Kumleta Fundi
Kwa TZ, kibari cha ujenz kinatolewa na ALMASHAURI huska, kwenye IDARA ya ujenz, KAZI kubwa ya IDARA ya ujenzi inayokuwa na watu 2 muhimu ni msanifu majengo (architecture) na mhandisi majengo (structure engineer). cha Kwanza wataomba uonyeshe yafuatayo:
1. Hati ya kiwanja /mmiliki
2. Mchoro wa jengo(structural design)
3.Usanifu wa jengo(architectural design)
Na michoro hiyo lazma iwe na mhuri wa aliyepitisha ubora,
Baada ya hapo watapanga kuja kutembelea eneo na QS wao au afisa mipango miji
badae utapata kibari cha sasa unaweza kujenga na watakwambia ulipie gharama za kibar cha ujenz, nadhan huwa unalipa kwa eneo linalokwenda kusimama jengo (, Square metre).BAADA YA HAPO UNAWEZA KUTAFUTA MTAALUM WAKO NA UWEKE KIBAO CHA KUONYESHA KUNA UJENZI.
Na itakulazimu sasa kwasababu ni orofa kibao kinachoo yesha :
1. Aina ya jengo
2.Mteja
3.mkandrasi wa jengo
4.mkandras wa umeme
5.mkandras wa mifumo mingine kama ipo .
Kazi kwako...
 
Unashauri nini kwenye nyumba zinazoliwa na magadi (fungus)
Fungus ni matokeo ya :
1. Eneo Lina unyevunyevu/soil behaviour
2.aina ya material yaliyotumika kujenga
3.Kuisha kwa muda wa matumiz ya malighafi (chemical reaction).
Lakin pia eneo Lina Aina gani ya udongo i.e dsm Chung chumvi, au Kigoma silty ..nk..
Kama utatumia material yenye kemikali basi njia yakumaliza hilo ni kubadiri au kufanya repair kwa material yaleyale ila kwa kuongeza ubora..kama kutumia pvc,white cement, additives za kuzuia kupenya kwa MAJI..ziko Aina nyingi sokoni ,
Kama Sehem kwa asili ina unyevunyevu kwamaa maji yaliptia kwenye msingi basi njia pekee ni kubomoa...na kuanza upya ingawa unaweza kufanya repair bila kuvunja jengo zima...
Na kama FUNGUS wanatokana na tatizo la mfumo wa maji taka (plumbing system ya nyumba ). Rejea tatizo lilipo maliza...
Kumbuka nyumba zinazojengwa kwa kutumia materials kama blocks,chokaa , cement life span ina kikomo, Ila nyumba za udongo hiyo miaka kenda itakuwa imara (earth nature)..ukiniuliza nitumieaterial yapi kujenga basi nitakuomba pesa ya USHAURI na hutojutia.
 
Kuna formula moja jamaa aliweka ili kujua idadi ya tofali kwenye ukuta. Makadirio ya cement etc.
 
Kuna formula moja jamaa aliweka ili kujua idadi ya tofali kwenye ukuta. Makadirio ya cement etc.
Formula itategemea na size ya ukuta, ndo itakupa pia utatumia cement na mchanga kiasi gani..I e. Kama size ya ukuta ni 230mm au 150mmm mortar huwez kuwa sawa..Ila ukinambia size ya chumba naweza kukwambia utatumia tofar ngapi na kadrio la cement... error ni 3% ...Plus labour cost...kwenye uandis Hamna kubatisha bro .Ila uzoefu utakupunguzia muda wa kufanya KAZI..( thumb rule).. uzoefu ulinambia 1sqm unaweza kutumia tofar 12 hivi 230mm, au 8 hivi 150mm. Kumbuka ukuta unapimwa kwa unene sio urefu..huo ni ubora...kama unapima urefu huo ni ujazo..(horizontal size), pia size ya ukuta unaweza kuwa Kati ya 150mmm mpk 400mm kiwango cha juu...kwa code za ACI ,ISO,INDIA nk. Pia kuna Aina 3 za tofar...na itategemea mteja anataka kipi...solid block ..hole block n chipping block....pia kuna na bricks...chipping ni Bora zaidi .ingawa sasa hivi tuko kwenye utafit kuachana na kutumia tofar kwani ni environmental pollution..tunafuta alternative binder km MIHOGO au ash ascs...
 
Mkuu ni namna gani ya kudhibiti paa la mficho ie hiden roof lisivuje au maji yasishuke na kuta
 
Back
Top Bottom